Wanasayansi wabaini njia mpya ya kutibu Ukimwi
Wanasayansi wanaendeleza na uchunguzi wa kina ya tiba ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) hivi karibuni wamegundua dawa nyingine yenye kuleta matumaini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Jun
Wanaodai kutibu Ukimwi kukiona
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imeagiza vyombo vya dola, kukamata waganga wa jadi, wanaojitangaza kutibu magonjwa ya Ukimwi, kisukari na shinikizo la damu. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid alipokuwa akiwasilisha bungeni hotuba ya bajeti ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2014/15.
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Matangazo ya ‘kutibu’ ukimwi yawavunja moyo watafiti
MATANGAZO ya waganga wa jadi wanaotibu ukimwi kwa dawa za asili, yanawavunja moyo watafiti na wanasayansi wanaoendelea kutafuta tiba ya ugonjwa huo. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Tanga,...
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Dai kuwa eti wanasayansi walitengeneza ukimwi na ebola kuua waafrika laendelea mitaani majuu
10 years ago
Mwananchi25 Oct
NEEMA: Ugunduzi wabaini aina mpya ya viumbe
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Utafiti mpya wabaini ‘Panya Road’ bado tishio
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Mbinu mpya ya kutibu neti za kuzuia mbu
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Dawa mpya ya ukimwi yakosolewa
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Ukimwi:WHO imetoa muongozo mpya wa matibabu
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Sababu 10 zinazotia moyo dawa mpya ya Ukimwi