Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dai kuwa eti wanasayansi walitengeneza ukimwi na ebola kuua waafrika laendelea mitaani majuu

Tunamtazama njiwa. Anasikitisha. Anachechemea akidonoa donoa mabaki ya vyakula chini. Mguu mmoja umeumia; hautumii kabisa. Njiwa wenzake, wanampita pita wakila haraka zaidi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wanasayansi wabaini njia mpya ya kutibu Ukimwi

Wanasayansi wanaendeleza na uchunguzi wa kina ya tiba ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) hivi karibuni wamegundua dawa nyingine yenye kuleta matumaini.

 

9 years ago

Bongo5

Wanasayansi watengeneza dawa kutumia ndizi zinazoweza kuua virusi vya HIV, Hepatitis na mafua

Wanasayansi wametengeneza dawa kutumia ndizi zinazoweza kuua virusi vya aina mbalimbali vikiwemo vya HIV, Hepatitis na mafua. Inatumainiwa kuwa dawa hivyo mpya inaweza kuwa na muhimu katika kupambana na virusi vingi hatari. Dawa hiyo iligundulika miaka mitano iliyopita na kuaminika kuwa tiba ya virusi vya HIV lakini ilisababisha madhara ambayo wanasayansi sasa wamekabiliana nayo. Dawa […]

 

10 years ago

Mwananchi

Wanasayansi ‘Bongo’ kusafisha maji ya kinyesi kuwa ya kunywa

Umeshikwa na kiu? Unaingia katika duka lililo jirani na kununua maji ya chupa kwa ajili ya kunywa. Lakini ukapatwa na udadisi kutaka kujua maji hayo yametengenezwa na nini. Unaposoma kilichotumika kutengeneza maji hayo, unagundua kuwa yametengenezwa kwa kinyesi.

 

10 years ago

Bongo Movies

ETI! Johari adai hajawai kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Ray

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Blandina Chagula maarufu kama Johari, ambaye ni ‘business partner’ wa msanii mwenzake, Vicent Kigosi aka Ray, amefunguka na kuzungumzia mahusiano yake na Ray pamoja na mipango yake ya kuolewa.

johari2

Akizungumza na Bongo5 leo, Johari amesema anashangazwa kuwaona watu wakivumisha kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Ray.

“Mimi na Ray cha kwanza ni mtu na swahiba wake, cha pili ni kama kaka yangu kwasababu tumekaa kwa muda mrefu sana. Tumefanya kazi kama partner...

 

9 years ago

Vijimambo

WATAALAMU WA MAMBO YA SIASA WANAKWAMBIA KUWA ETI SLAA NI SHUJAA WA TAIFA


Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa.HOTUBA ya kwanza tangu ‘atoweke’ kwenye anga za siasa ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa, aliyoitoa juzi Jumanne juu ya kujiweka pembeni, imepokelewa kwa hisia tofauti huku wengi wakimuita kuwa ni shujaa wa taifa kutokana na ujasiri wake, Ijumaa lina kila kitu.Katika mahojiano yaliyowahusisha wananchi na wachambuzi mbalimbali wa mambo ya kisiasa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka

Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!

 

Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...

 

11 years ago

Habarileo

Ukimwi wazidi kuwa tishio kwa watoto

HATARI ya kuongezeka kwa vifo vya watoto vinavyotokana na upungufu wa kinga mwilini (Ukimwi) na maradhi nyemelezi, inatishia taifa.

 

10 years ago

CloudsFM

NJOMBE KUWA MWENYEJI KITAIFA, SIKU YA UKIMWI DUNIANI

UKIWA unaendelea kuongoza kitaifa kwa kuwa na kasi kubwa ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), mkoa wa Njombe utakuwa mwenyeji kitaifa wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani, ambayo hufanyika Desemba 1, kila mwaka.
Tume ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), imesema kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu imelenga kutoa msukumo wa utekelezaji wa mikakati ya kudhibiti Ukimwi.

Mwenyekiti Mtendaji wa Tacaids, Dk. Fatma Mrisho, alisema kauli mbiu hiyo pia inalenga kudhibiti...

 

9 years ago

Michuzi

Azma ya kuwa na kizazi kisicho na UKIMWI, muda wa vitendo ni sasa

Na Mark B. Childress, Balozi wa Marekani katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mwaka mmoja uliopita wakati wa maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani, niliandika makala kuhusu jitihada za kuwa na kizazi kisicho na UKIMWI nchini Tanzania.  Toka wakati huo, kwa pamoja tumepiga hatua muhimu kuelekea katika kufikia azma hiyo, tukielekeza rasilimali na shughuli zetu kwenye maeneo yenye mahitaji zaidi nchini kote. Hata hivyo, bado tunahitajika kuongeza nguvu na kufanya zaidi. Bila ya kuongeza kasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani