WATAALAMU WA MAMBO YA SIASA WANAKWAMBIA KUWA ETI SLAA NI SHUJAA WA TAIFA
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa.HOTUBA ya kwanza tangu ‘atoweke’ kwenye anga za siasa ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa, aliyoitoa juzi Jumanne juu ya kujiweka pembeni, imepokelewa kwa hisia tofauti huku wengi wakimuita kuwa ni shujaa wa taifa kutokana na ujasiri wake, Ijumaa lina kila kitu.Katika mahojiano yaliyowahusisha wananchi na wachambuzi mbalimbali wa mambo ya kisiasa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6hThTe10UGjk2aJtPzkIgNuNHw8iQeeZdzZlR3AEfGrtqLhJ4Q*mwClkSuDRNJunX8bAMt4qk26V7obo-0iKvAf/DrSlaa4.jpg)
SLAA NI SHUJAA WA TAIFA
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7O9oUfa8UNc/default.jpg)
Karatu wamzungumzia Dk Slaa, wasema ni shujaa, msaliti
Wakazi wa wilaya ya Karatu Mkoani Arusha wametoa maoni yao kuhusu kuacha siasa kwa aliyekuwa mbunge wao Dk Wilbroad Slaa, wengine wakisema kitendo alichofanya ni cha kishujaa wengine wakisema ni usaliti
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Eti wasomi nao wamejiingiza kwenye siasa za Muungano?
EBO! Eti nasikia kuna watu wanaoitwa wasomi wameibuka kwenye siasa siku hizi? Lakini hata mimi nakosea kusema siku hizi, maana tangu kitambo tulishawaona wakikimbia profesheni zao na kwenda kula bata....
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Pooley atajwa kuwa shujaa wa Ebola
10 years ago
Bongo Movies22 Sep
ETI! Johari adai hajawai kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Ray
Msanii mkongwe wa filamu nchini, Blandina Chagula maarufu kama Johari, ambaye ni ‘business partner’ wa msanii mwenzake, Vicent Kigosi aka Ray, amefunguka na kuzungumzia mahusiano yake na Ray pamoja na mipango yake ya kuolewa.
Akizungumza na Bongo5 leo, Johari amesema anashangazwa kuwaona watu wakivumisha kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Ray.
“Mimi na Ray cha kwanza ni mtu na swahiba wake, cha pili ni kama kaka yangu kwasababu tumekaa kwa muda mrefu sana. Tumefanya kazi kama partner...
9 years ago
VijimamboDK.SLAA ATANGAZA RASMI KUACHANA NA SIASA
9 years ago
Mzalendo Zanzibar04 Sep
Hotuba ya Dr. Wilbroad Slaa Kuacha Siasa
Hotuba ya Dr. Wilbroad Slaa Kuacha Siasa Written by Prof.Mbele http://hapakwetu.blogspot.ca/2015/09/hotuba-ya-dr-wilbroad-slaa-kuacha-siasa.html Kuhusu hotuba ya Dr. Slaa kwa waandishi wa habari akitangaza kuondokana na siasa, mengi muhimu yamesemwa na wenye upeo na tafakari nzito kunizidi. Ila nami […]
The post Hotuba ya Dr. Wilbroad Slaa Kuacha Siasa appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi01 Sep
Dk. Slaa aibuka, atangaza kuachana na siasa za vyama
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/gzMFPFoONNw/default.jpg)