Karatu wamzungumzia Dk Slaa, wasema ni shujaa, msaliti
![](http://img.youtube.com/vi/7O9oUfa8UNc/default.jpg)
Wakazi wa wilaya ya Karatu Mkoani Arusha wametoa maoni yao kuhusu kuacha siasa kwa aliyekuwa mbunge wao Dk Wilbroad Slaa, wengine wakisema kitendo alichofanya ni cha kishujaa wengine wakisema ni usaliti
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania04 Oct
Sitta shujaa au msaliti?
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Samuel Sitta
Na Waandishi Wetu
HATUA ya Bunge Maalumu la Katiba kuhitimisha kazi yake kwa kupitisha Katiba inayopendekezwa, imemjengea taswira mbili tofauti Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta.
Wakati wengine wakitafsiri matokeo ya kupata theluthi mbili kila upande ili kupitisha Katiba inayopendekezwa kuwa yamembebesha Sitta taswira ya mtu shupavu na shujaa, upande unaompinga unamuona msaliti na kiongozi anayeweza kusababisha kuibuka na kukua kwa ufa mkubwa miongoni mwa jamii.
Hatua yake...
9 years ago
TheCitizen07 Sep
Karatu residents say Slaa move irrelevant
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6hThTe10UGjk2aJtPzkIgNuNHw8iQeeZdzZlR3AEfGrtqLhJ4Q*mwClkSuDRNJunX8bAMt4qk26V7obo-0iKvAf/DrSlaa4.jpg)
SLAA NI SHUJAA WA TAIFA
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Dk John Magufuli ammwagia sifa Dk Slaa Karatu
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Ukawa wamjibu Slaa, wasema tuhuma alizotoa zinalipasua taifa
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vSPZS0rCB1c/VhLA7g6WSXI/AAAAAAAH9No/kJGOkSH64d4/s72-c/_MG_3009.jpg)
MAGUFULI ABOMOA NGOME ZA CHADEMA HANANG, MBULU NA KARATU. AMMWAGIA SIFA LUKUKI DKT. SLAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vSPZS0rCB1c/VhLA7g6WSXI/AAAAAAAH9No/kJGOkSH64d4/s640/_MG_3009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_MnwuJY44Dg/VhLA9AwcboI/AAAAAAAH9Nw/lFs4s6PVudA/s640/_MG_3023.jpg)
9 years ago
Vijimambo04 Sep
WATAALAMU WA MAMBO YA SIASA WANAKWAMBIA KUWA ETI SLAA NI SHUJAA WA TAIFA
![](http://api.ning.com/files/7KfVtj4CX6hThTe10UGjk2aJtPzkIgNuNHw8iQeeZdzZlR3AEfGrtqLhJ4Q*mwClkSuDRNJunX8bAMt4qk26V7obo-0iKvAf/DrSlaa4.jpg)
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa.HOTUBA ya kwanza tangu ‘atoweke’ kwenye anga za siasa ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa, aliyoitoa juzi Jumanne juu ya kujiweka pembeni, imepokelewa kwa hisia tofauti huku wengi wakimuita kuwa ni shujaa wa taifa kutokana na ujasiri wake, Ijumaa lina kila kitu.Katika mahojiano yaliyowahusisha wananchi na wachambuzi mbalimbali wa mambo ya kisiasa...
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Mawaziri Membe na Mwandosya wamzungumzia Karume
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Makamanda wa Polisi wamzungumzia IGP Mangu