Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta shujaa au msaliti?

Samuel Sitta

Samuel Sitta

Na Waandishi Wetu

HATUA ya Bunge Maalumu la Katiba kuhitimisha kazi yake kwa kupitisha Katiba inayopendekezwa, imemjengea taswira mbili tofauti Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta.

Wakati wengine wakitafsiri matokeo ya kupata theluthi mbili kila upande ili kupitisha Katiba inayopendekezwa kuwa yamembebesha Sitta taswira ya mtu shupavu na shujaa, upande unaompinga unamuona msaliti na kiongozi anayeweza kusababisha kuibuka na kukua kwa ufa mkubwa miongoni mwa jamii.

Hatua yake...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

Karatu wamzungumzia Dk Slaa, wasema ni shujaa, msaliti


Wakazi wa wilaya ya Karatu Mkoani Arusha wametoa maoni yao kuhusu kuacha siasa kwa aliyekuwa mbunge wao Dk Wilbroad Slaa, wengine wakisema kitendo alichofanya ni cha kishujaa wengine wakisema ni usaliti

 

10 years ago

Raia Mwema

Kingunge: Mkomunisti msaliti au mfukuzia dinari chafu?

KAMA kuna mwanasiasa machachari aliyewahi kuteka siasa za nchi hii na katika kutetea siasa ya Uja

Joseph Mihangwa

 

10 years ago

Habarileo

Shibuda- Heri kuwa msaliti kuliko mhaini

MJUMBE wa Bunge Maalumu, John Shibuda, amesema ni heri kuwa msaliti kuliko kuwa mhaini kwa maslahi mapana ya Watanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni nani msaliti wa CCM kati ya waasisi wa CCJ na Lowassa

MALUMBANO hayajengi. Fitna na siasa chafu dahari ni sumu katika utendaji ndani ya serikali na chama chochote kinachoongoza dola. Fitna na malumbano ni sawa na kichaa anayemcheka na kumdhihaki kichaa...

 

10 years ago

Raia Mwema

Lowassa shujaa?

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond, Edward Lowassa, a

Waandishi Wetu

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

GPL

SLAA NI SHUJAA WA TAIFA

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa. Na Amran kaima
HOTUBA ya kwanza tangu ‘atoweke’ kwenye anga za siasa ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa, aliyoitoa juzi Jumanne juu ya kujiweka pembeni, imepokelewa kwa hisia tofauti huku wengi wakimuita kuwa ni shujaa wa taifa kutokana na ujasiri wake, Ijumaa lina...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shujaa wa kesho apatikana

KAMPUNI   ya Statoil Tanzania, imewatangaza na kuwazawadia washindi wa shindano la Mashujaa wa Kesho huku Nassib Lilumba akiibuka mshindi wa shindano hilo  kwa mwaka huu. Akizungumza wakati wa kutangazwa kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Shujaa wa riadha asiyesahaulika

Miongoni mwa viongozi watakaokumbukwa katika sekta ya michezo nchini, bila shaka huwezi kuacha kumtaja aliyewahi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Kwanza (CDF), Jenerali Mirisho Sarakikya aliyefanya kazi wakati wa utawala wa Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani