Kingunge: Mkomunisti msaliti au mfukuzia dinari chafu?
KAMA kuna mwanasiasa machachari aliyewahi kuteka siasa za nchi hii na katika kutetea siasa ya Uja
Joseph Mihangwa
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania04 Oct
Sitta shujaa au msaliti?
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Samuel Sitta
Na Waandishi Wetu
HATUA ya Bunge Maalumu la Katiba kuhitimisha kazi yake kwa kupitisha Katiba inayopendekezwa, imemjengea taswira mbili tofauti Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta.
Wakati wengine wakitafsiri matokeo ya kupata theluthi mbili kila upande ili kupitisha Katiba inayopendekezwa kuwa yamembebesha Sitta taswira ya mtu shupavu na shujaa, upande unaompinga unamuona msaliti na kiongozi anayeweza kusababisha kuibuka na kukua kwa ufa mkubwa miongoni mwa jamii.
Hatua yake...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7O9oUfa8UNc/default.jpg)
Karatu wamzungumzia Dk Slaa, wasema ni shujaa, msaliti
Wakazi wa wilaya ya Karatu Mkoani Arusha wametoa maoni yao kuhusu kuacha siasa kwa aliyekuwa mbunge wao Dk Wilbroad Slaa, wengine wakisema kitendo alichofanya ni cha kishujaa wengine wakisema ni usaliti
10 years ago
Habarileo03 Oct
Shibuda- Heri kuwa msaliti kuliko mhaini
MJUMBE wa Bunge Maalumu, John Shibuda, amesema ni heri kuwa msaliti kuliko kuwa mhaini kwa maslahi mapana ya Watanzania.
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Ni nani msaliti wa CCM kati ya waasisi wa CCJ na Lowassa
MALUMBANO hayajengi. Fitna na siasa chafu dahari ni sumu katika utendaji ndani ya serikali na chama chochote kinachoongoza dola. Fitna na malumbano ni sawa na kichaa anayemcheka na kumdhihaki kichaa...
11 years ago
BBCSwahili16 Mar
Ufaransa yazongwa na mazingira chafu
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
‘Msiwachague wanaotumia fedha chafu’
WATANZANIA wametakiwa kuwaadabisha kwa kutowachagua viongozi mafisadi wanaotaka kuingia madarakani kwa kutumia fedha chafu katika chaguzi zijazo. Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Madini nchini, Richard Kasesela wakati...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LhXHdUSJt1s/VIskO9F7uaI/AAAAAAAG2v8/c7N3KwdtKCY/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
KARAFUU CHAFU YAKAMATWA PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-LhXHdUSJt1s/VIskO9F7uaI/AAAAAAAG2v8/c7N3KwdtKCY/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ityqxplv1XQ/VIskOwlJA6I/AAAAAAAG2v4/1J_hGy29MXU/s1600/unnamed%2B(94).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q8sBqSji1Ys/VIskPh-BzmI/AAAAAAAG2wI/se_8GrnBj0U/s1600/unnamed%2B(95).jpg)
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Je video ya Rihanna ni 'Chafu' au inatisha?