Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kingunge: Mkomunisti msaliti au mfukuzia dinari chafu?

KAMA kuna mwanasiasa machachari aliyewahi kuteka siasa za nchi hii na katika kutetea siasa ya Uja

Joseph Mihangwa

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Sitta shujaa au msaliti?

Samuel Sitta

Samuel Sitta

Na Waandishi Wetu

HATUA ya Bunge Maalumu la Katiba kuhitimisha kazi yake kwa kupitisha Katiba inayopendekezwa, imemjengea taswira mbili tofauti Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta.

Wakati wengine wakitafsiri matokeo ya kupata theluthi mbili kila upande ili kupitisha Katiba inayopendekezwa kuwa yamembebesha Sitta taswira ya mtu shupavu na shujaa, upande unaompinga unamuona msaliti na kiongozi anayeweza kusababisha kuibuka na kukua kwa ufa mkubwa miongoni mwa jamii.

Hatua yake...

 

9 years ago

Vijimambo

Karatu wamzungumzia Dk Slaa, wasema ni shujaa, msaliti


Wakazi wa wilaya ya Karatu Mkoani Arusha wametoa maoni yao kuhusu kuacha siasa kwa aliyekuwa mbunge wao Dk Wilbroad Slaa, wengine wakisema kitendo alichofanya ni cha kishujaa wengine wakisema ni usaliti

 

10 years ago

Habarileo

Shibuda- Heri kuwa msaliti kuliko mhaini

MJUMBE wa Bunge Maalumu, John Shibuda, amesema ni heri kuwa msaliti kuliko kuwa mhaini kwa maslahi mapana ya Watanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni nani msaliti wa CCM kati ya waasisi wa CCJ na Lowassa

MALUMBANO hayajengi. Fitna na siasa chafu dahari ni sumu katika utendaji ndani ya serikali na chama chochote kinachoongoza dola. Fitna na malumbano ni sawa na kichaa anayemcheka na kumdhihaki kichaa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ufaransa yazongwa na mazingira chafu

Serikali ya Ufaransa imezindua mfumo wa kuendesha magari kwa siku maalum jijini Paris, kama njia ya kujaribu kupunguza uchafuzi mkubwa wa mzingira

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Msiwachague wanaotumia fedha chafu’

WATANZANIA wametakiwa kuwaadabisha kwa kutowachagua viongozi mafisadi wanaotaka kuingia madarakani kwa kutumia fedha chafu katika chaguzi zijazo. Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Madini nchini, Richard Kasesela wakati...

 

10 years ago

Michuzi

KARAFUU CHAFU YAKAMATWA PEMBA

Afisa mdhamini shirika la biashara la taifa Zanzibar ZSTC Pemba Abdalla Ali Ussi(kuli), akiwa na mkulima wa zao la karafuu Khatib Suleiman Amour, ambae anadaiwa kuchanganya karafuu na makonyo na kugundulika na watendaji wa ZSTC Finya wilaya ya Micheweni.MPIMAJI karafuu wa kituo cha mauzo ya zao hilo, Wete Pemba Kitwana Salim Kitwana, akipima karafuu hizo, kama alivyokutwa na mpiga picha wetu kituoni hapo.WANANCHI waliokodi shamba la mikarafuu la serikali eneo la Makuwe wilaya ya Micheweni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je video ya Rihanna ni 'Chafu' au inatisha?

Rihanna ametibua mjadala mkali kwenye mitandao ya habari za muziki na wasanii baada ya kuachia video inayosemekana kuwa ''chafu'' naya 'kutisha''

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani