‘Msiwachague wanaotumia fedha chafu’
WATANZANIA wametakiwa kuwaadabisha kwa kutowachagua viongozi mafisadi wanaotaka kuingia madarakani kwa kutumia fedha chafu katika chaguzi zijazo. Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Madini nchini, Richard Kasesela wakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XOYCWbmFPs4/VVhwygVSnZI/AAAAAAABZl4/TSdaOQNSSYQ/s72-c/raza1.jpg)
RAZA AWAPONDA WANAOTUMIA FEDHA KUWANIA MADARAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XOYCWbmFPs4/VVhwygVSnZI/AAAAAAABZl4/TSdaOQNSSYQ/s640/raza1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F46LzFnzyW4/VVhw3n40_sI/AAAAAAABZmE/2vhV7zb7reY/s640/raza6.jpg)
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mohammed Raza, ameshtushwa na baadhi ya wagombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano kumwaga mabilioni yafedha chafu Zanzibar ili kuwashawishi baadhi Wajumbe wa chama hicho kuwaunga...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Fedha chafu zinachochea uhalifu — Silima
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani, Perreira Ame Silima, amesema uwepo wa fedha chafu nchini umechangia kuendelea kukua kwa uhalifu. Kwa mujibu wa naibu waziri huyo, matendo hayo ya uhalifu...
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
Kashfa ya kasisi kujipa 'fedha chafu'
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
‘Wanawake CCM msiwachague viongozi watoa rushwa’
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga amewataka wafuasi wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho mkoani hapa kutowachagua viongozi wapenda rushwa kwa kuwa ni...
9 years ago
Mtanzania01 Sep
Kotto: Msiwachague kwa uzuri wa filamu na nyimbo zao
NA FARAJA MASINDE
MMILIKI wa bendi ya muziki wa dansi ya Kotto, Said Mohamed, amewataka Watanzania wawapime kwa sera zao wasanii wote wanaogombea nafasi mbalimbali za uongozi badala ya kuangalia majina yao tu.
Kotto alisema wapo wasani wengi waliokimbilia siasa lakini hawana na wala hawajui sera zao ni nini kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, hivyo wananchi wanatakiwa kuwapima ndipo wawachague kwa ajili ya maendeleo yao ya miaka mitano ijayo.
“Uchaguzi huu umejumuisha wasanii wa kila aina,...
5 years ago
MichuziKUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana.
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Wadukuzi waandamana wanaotumia LinkedIn
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Wanariadha wanaotumia dawa mashakani
10 years ago
Habarileo23 Oct
Wanaotumia vibaya simu kukiona
SERIKALI imeahidi kuja na sheria itakayozuia matumizi mabaya ya mitandao ya simu yanayohusisha usambazaji wa picha za ngono, wizi na taarifa zingine zinazochangia kubomoa maadili ya Mtanzania.