Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadukuzi waandamana wanaotumia LinkedIn

Wadukuzi wa mitandaoni wameanza kuandama zaidi watu wanaotumia mtandao wa LinkedIn, shirika la usalama wa mtandaoni Symantec linasema.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wadukuzi wailiza Marekani

Mamlaka nchini Marekani imewamefungulia mashtaka ya jinai watu tisa baada ya kuhusika na wizi wa mtandaoni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wadukuzi wasoma ujumbe wa Obama

Gazeti moja nchini Marekani linasema kuwa wadukuzi wa mitandao wa Urusi walifanikiwa kudukua ujumbe wa rais Obama

 

9 years ago

BBCSwahili

Wadukuzi watatiza tovuti za BBC

Tovuti zote za BBC leo zimekumbwa na matatizo kwa saa kadha baada ya kuvamiwa na wadukuzi.

 

10 years ago

GPL

WADUKUZI WAVAMIA BARUA-PEPE YA WIZKID

Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Wizkid.
HABARI zilizopokelewa na mtandao wa Nigeriafilms.com zinasema barua-pepe ya mwanamuziki  Wizkid imekumbwa na udukuzi. Chanzo cha habari hizo ni kampuni ya List Entertainment ambayo inataka watu wafahamu kwamba barua pepe ya mwanamuziki huyo maarufu nchini Nigeria na muasisi wa Starboy Music, aitwaye Ayo Balogun almaarufu kama Wizkid, imevamiwa na wadukuzi wanaotuma ujumbe wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Equifax: Marekani yawashtaki wanajeshi wanne ''wadukuzi'' wa Kichina

Marekani imewashitaki maafisa wa kijeshi wa Marekani juu ya mashambulio ya kimtandao dhidi ya kampuni kubwa ya utoaji wa mikopo Equifax.

 

10 years ago

GPL

WADUKUZI WAVAMIA TOVUTI YA MALAYSIA AIRLINES, WAWEKA PICHA YA MJUSI NA WIMBO

Pichani kulia ni picha ya mjusi iliyowekwa kwenye ukurasa wa mbele wa tovuti ya Shirika la Ndege la Malaysia. WADUKUZI wa mitandao wameweka picha ya mjusi  na wimbo katika tovuti ya Shirika la Ndege la Malaysia ambamo wameweka ujumbe  usemao kwamba ‘Ndege Haipatikani’ ukihusishwa na ndege namba MH370 ya shirika hilo ambayo ilipotea mwaka jana mwezi Machi  na haijapatikana mpaka leo. Picha iliyowekwa kwenye...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Google yazuia mamilioni ya barua pepe za wadukuzi

Wadukuzi wa mtandaoni huwa wanatuma barua pepe milioni 18 kila siku zenye ujumbe wa uongo kuhusu ugonjwa wa Covid-19, kwa mujibu wa Google.

 

10 years ago

Habarileo

Wanaotumia vibaya simu kukiona

SERIKALI imeahidi kuja na sheria itakayozuia matumizi mabaya ya mitandao ya simu yanayohusisha usambazaji wa picha za ngono, wizi na taarifa zingine zinazochangia kubomoa maadili ya Mtanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaotumia dawa michezoni wafungiwe

Bingwa wa dunia Olimpik riadha Valerie Adams amependekeza kufungiwa maisha kwa mwanariadha atakayebainika kutumia dawa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani