WADUKUZI WAVAMIA BARUA-PEPE YA WIZKID
![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzeAyi627BtMImltdSU*StaK4xmhnEmnW*zhLsLE7TLxWJUHqPovKSkxapdeY3MBUyVze1uPJq41uNKqQd5lxMA7/KIDOOOOOO.jpg?width=650)
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Wizkid. HABARI zilizopokelewa na mtandao wa Nigeriafilms.com zinasema barua-pepe ya mwanamuziki Wizkid imekumbwa na udukuzi. Chanzo cha habari hizo ni kampuni ya List Entertainment ambayo inataka watu wafahamu kwamba barua pepe ya mwanamuziki huyo maarufu nchini Nigeria na muasisi wa Starboy Music, aitwaye Ayo Balogun almaarufu kama Wizkid, imevamiwa na wadukuzi wanaotuma ujumbe wa...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Virusi vya corona: Google yazuia mamilioni ya barua pepe za wadukuzi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jKCPUqQC7tGqGn7Df5rFNxu6rR4UrUoy5AKVp-Z6v5zghrr7ZzEodAr4p2PgWKw4YIDIIu0CzBCZrlV7x2KKtyO/MAINmalaysiahack.jpg)
WADUKUZI WAVAMIA TOVUTI YA MALAYSIA AIRLINES, WAWEKA PICHA YA MJUSI NA WIMBO
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Barua pepe za Clinton kuchunguzwa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZFVQGyC-7KjbBrdE-6RhTkJEUH6HFxFbPEWhXcCl-QxfEdB2WKK5x3*tXVakwRTuXtamogaKI4nHrLHWgjuHsOLHTQvuSJAF/hillaryclintonisrunningforpresident.jpg?width=650)
BARUA PEPE ZA HILLARY CLINTON KUKAGULIWA
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Marekani :Tunataka barua pepe Microsoft
10 years ago
Habarileo02 Jun
Taasisi za serikali zatakiwa kubadilisha barua pepe
TAASISI za Serikali nchini zimetakiwa kufanya mabadiliko katika mfumo wa barua pepe za serikali ili kuendana na mabadiliko ya sasa ya sayansi na teknolojia.
11 years ago
BBCSwahili22 May
Barua pepe zatumiwa kujumlisha kura Malawi
10 years ago
Vijimambo10 Mar
HILLARY CLINTON ASEMA ALIRUHUSIWA KUTUMIA BARUA PEPE BINAFSI
![](http://a.abcnews.com/images/Politics/ABC_clinton3_ml_150310_16x9_992.jpg)
Alipoulizwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3FDhOft3D54/U6SbUduXSkI/AAAAAAAFsC4/FRcQPN8LUcg/s72-c/images.jpg)
KUVAMIWA KWA AKAUNTI YANGU BINAFSI YA BARUA PEPE - SULEIMAN SALEH
![](http://4.bp.blogspot.com/-3FDhOft3D54/U6SbUduXSkI/AAAAAAAFsC4/FRcQPN8LUcg/s1600/images.jpg)
Leo hii Ijumaa Juni 20, 2014, kuanzia saa 5 mchana kwa saa za Marekani na saa 12 jioni kwa saa za Tanzania nimegundua kwamba akaunti yangu binafsi ya barua pepe kidundo2001@yahoo.comimevamiwa na wahalifu. Nimechukuwa hatua stahili na za haraka katika kushughulikia tatizo hili. Naomba kuwashukuru wote walionitanabahisha kwa kufahamu kwamba niko Washington DC, Marekani, na wakashangazwa kupokea barua pepe nyingi ambazo zimedai kwamba niko Nassau, Bahamas, Manila...