Barua pepe zatumiwa kujumlisha kura Malawi
Maafisa wa uchaguzi nchini Malawi,wamelazimika kutumia vipepesi na barua pepe kujumlisha kura baada ya mfumo wa elektroniki kuharibika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Barua pepe za Clinton kuchunguzwa
Maefu ya kurasa za barua pepe binafsi za aliyekuwa Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton zinachunguzwa.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZFVQGyC-7KjbBrdE-6RhTkJEUH6HFxFbPEWhXcCl-QxfEdB2WKK5x3*tXVakwRTuXtamogaKI4nHrLHWgjuHsOLHTQvuSJAF/hillaryclintonisrunningforpresident.jpg?width=650)
BARUA PEPE ZA HILLARY CLINTON KUKAGULIWA
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Bi. Hillary Clinton. New York, Marekani Maelfu ya kurasa za barua pepe (emails) binafsi za aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Bi. Hillary Clinton zilizotumwa kwa anuani binafsi ya Waziri huyo, zimewekwa wazi hii leo na idara za Usalama nchini humo. Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema kuwa, kati ya barua pepe hizo, 150 kati yake ni zile zinazodaiwa kuwa na taarifa...
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Marekani :Tunataka barua pepe Microsoft
Mahakama nchini Marekani imeamuru kampuni ya Microsoft kukabidhi barua pepe zote zilizotunzwa katika kituo cha Ireland.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzeAyi627BtMImltdSU*StaK4xmhnEmnW*zhLsLE7TLxWJUHqPovKSkxapdeY3MBUyVze1uPJq41uNKqQd5lxMA7/KIDOOOOOO.jpg?width=650)
WADUKUZI WAVAMIA BARUA-PEPE YA WIZKID
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Wizkid.
HABARI zilizopokelewa na mtandao wa Nigeriafilms.com zinasema barua-pepe ya mwanamuziki Wizkid imekumbwa na udukuzi. Chanzo cha habari hizo ni kampuni ya List Entertainment ambayo inataka watu wafahamu kwamba barua pepe ya mwanamuziki huyo maarufu nchini Nigeria na muasisi wa Starboy Music, aitwaye Ayo Balogun almaarufu kama Wizkid, imevamiwa na wadukuzi wanaotuma ujumbe wa...
10 years ago
Habarileo02 Jun
Taasisi za serikali zatakiwa kubadilisha barua pepe
TAASISI za Serikali nchini zimetakiwa kufanya mabadiliko katika mfumo wa barua pepe za serikali ili kuendana na mabadiliko ya sasa ya sayansi na teknolojia.
10 years ago
Vijimambo10 Mar
HILLARY CLINTON ASEMA ALIRUHUSIWA KUTUMIA BARUA PEPE BINAFSI
![](http://a.abcnews.com/images/Politics/ABC_clinton3_ml_150310_16x9_992.jpg)
Alipoulizwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3FDhOft3D54/U6SbUduXSkI/AAAAAAAFsC4/FRcQPN8LUcg/s72-c/images.jpg)
KUVAMIWA KWA AKAUNTI YANGU BINAFSI YA BARUA PEPE - SULEIMAN SALEH
![](http://4.bp.blogspot.com/-3FDhOft3D54/U6SbUduXSkI/AAAAAAAFsC4/FRcQPN8LUcg/s1600/images.jpg)
Leo hii Ijumaa Juni 20, 2014, kuanzia saa 5 mchana kwa saa za Marekani na saa 12 jioni kwa saa za Tanzania nimegundua kwamba akaunti yangu binafsi ya barua pepe kidundo2001@yahoo.comimevamiwa na wahalifu. Nimechukuwa hatua stahili na za haraka katika kushughulikia tatizo hili. Naomba kuwashukuru wote walionitanabahisha kwa kufahamu kwamba niko Washington DC, Marekani, na wakashangazwa kupokea barua pepe nyingi ambazo zimedai kwamba niko Nassau, Bahamas, Manila...
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Virusi vya corona: Google yazuia mamilioni ya barua pepe za wadukuzi
Wadukuzi wa mtandaoni huwa wanatuma barua pepe milioni 18 kila siku zenye ujumbe wa uongo kuhusu ugonjwa wa Covid-19, kwa mujibu wa Google.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5eo6qWsJaqI/VoUyE-yQfVI/AAAAAAAIPms/8EG6w31XpjQ/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA BARUA PEPE ZA KAWAIDA KATIKA MAWASILIANO YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-5eo6qWsJaqI/VoUyE-yQfVI/AAAAAAAIPms/8EG6w31XpjQ/s640/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5nHf4yqEdho/VoUyHMNbzbI/AAAAAAAIPnE/ZKatyaTKuB4/s640/Picha%2Bna%2B5.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania