Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BARUA PEPE ZA HILLARY CLINTON KUKAGULIWA

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Bi. Hillary Clinton. New York, Marekani Maelfu ya kurasa za barua pepe (emails) binafsi za aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Bi. Hillary Clinton zilizotumwa kwa anuani binafsi ya Waziri huyo, zimewekwa wazi hii leo na idara za Usalama nchini humo. Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema kuwa, kati ya barua pepe hizo, 150 kati yake ni zile zinazodaiwa kuwa na taarifa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HILLARY CLINTON ASEMA ALIRUHUSIWA KUTUMIA BARUA PEPE BINAFSI

Hillary Clinton akijibu maswali ya waandishi habari leo ndani ya mjengo wa Umoja wa Mataifa New York kuhusiana na tuhuma za kutumia barua pepe binafsi badala ya serikali huku ikidhaniwa ni kwasababu alikua akificha jambo lakini yeye alipokua akiongea na wanahabari aliwaambia yeye kutumia barua pepe binafsi alomba kufanya hivyo na aliruhusiwa na sababu kubwa ya yeye kufanya hivyo ni kwasababu kwake ilikua vigumu kubeba simu mbili kwa ajili ya kutumia kupokea au kutuma barua pepe.
Alipoulizwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Barua pepe za Clinton kuchunguzwa

Maefu ya kurasa za barua pepe binafsi za aliyekuwa Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton zinachunguzwa.

 

9 years ago

CNN

Is Tanzania having a Hillary Clinton moment?


CNN
Is Tanzania having a Hillary Clinton moment?
CNN
Reporting for this story was made possible by the International Women's Media Foundation's African Great Lakes Reporting Initiative. (CNN) Rehema Mayuya has caused quite the scandal. It started when she convinced her 56-year-old husband, Thabit Yusuf ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Bi Hillary Clinton awalaumu wapinzani

Anayedhaniwa kuwa mstari wa mbele katika uteuzi wa Urais katika chama cha Democratic, Hillary Clinton, amewalaumu wapinzani wake wa chama cha Republican kwa kutumia vifo vya wanadiplomasia nchini Libya kujinufaisha kisiasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hillary Clinton kuwania urais Marekani

Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa Hillary Clinton atakuwa rais bora na mwenye maono kwa nchi ya Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hillary Clinton atangaza kugombea urais

Mke wa rais wa zamani wa Marekani, Bill Clinton, Bibi Clinton ametangaza azma ya kugombea urais nchini Marekani

 

10 years ago

Habarileo

Bill, Hillary Clinton wapata mjukuu

CHELSEA Clinton wa Rais wa zamani wa Marekani, Bill Clinton na mkewe Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Hillary Clinton, amejifungua mtoto wa kike.

 

9 years ago

Daily Caller

Hillary Clinton Intervened In Business Dispute After An Email From Ex ...


Daily Caller
Hillary Clinton Intervened In Business Dispute After An Email From Ex ...
Daily Caller
When a company that listed former U.S. Ambassador Joseph Wilson as a consulting director was stymied in its negotiations with General Electric over equipment it needed for a power plant project in Tanzania, the career diplomat knew just the person to ...

 

9 years ago

Bongo5

Katy Pery kumfanyia kampeni Hillary Clinton

Hillary Clinton atapata shavu kutoka kwa mwanamuziki wa kike mwenye nguvu nchini Marekani, Katy Perry atakayeungana naye kwenye kampeni za urais. Perry – miongoni mwa wasanii wanaouza kazi zaidi duniani, mwenye followers wengi kuliko mtu yeyote, milioni 76.3, ataungana na Clinton huko Iowa, October 24. Clinton anawania kuja kuwa rais wa kwanza mwanamke nchini Marekani. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani