Hillary Clinton kuwania urais Marekani
Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa Hillary Clinton atakuwa rais bora na mwenye maono kwa nchi ya Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNews alert: Mama Hillary Clinton kuwania urais wa marekani mwakani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Zamani wa Marekani Mama Hillary Clinton akiwa na wenyeji wake Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwa Ikulu Dar es salam wakati alipotembelea Tanzania June 13, 2011.Imetangazwa leo kuwa Mama Clintoameamua kujitosa katika kuwania nafasi ya Urais wa nchi hiyo mwakani. John Podesta, Meneja wa kampeni wa Clinton leo katuma email kwa wanaomuunga mkono, kwamba Clinton yumo katika mbio hizo,Podesta amesema Clinton anaelekea Iowa kukutana na wapiga kura...
10 years ago
Vijimambo14 Apr
Hillary Clinton atangaza kugombea urais Marekani
Hillary Rodham Clinton akihutubia mkutano New York City March 10, 2015.
Hillary Clinton, mke wa rais wa zamani Bill Clinton, ametangaza kuwaanagombania urais wa Marekani mwaka 2016.
Kulingana na John Podesta, mshauri mwandamizi wa Bi Clinton waziri wa mambo ya nje katika awamu ya kwanza ya Rais Barack Obama, alitangaza nia yake kwa kutuma email Jumapili kwa wafadhili na watu waliomuunga mkono katika kampeni yake ya kwanza ya urais mwaka 2008.
Baadaye Clinton alitangaza rasmi ugombea wake katika...
Hillary Clinton, mke wa rais wa zamani Bill Clinton, ametangaza kuwaanagombania urais wa Marekani mwaka 2016.
Kulingana na John Podesta, mshauri mwandamizi wa Bi Clinton waziri wa mambo ya nje katika awamu ya kwanza ya Rais Barack Obama, alitangaza nia yake kwa kutuma email Jumapili kwa wafadhili na watu waliomuunga mkono katika kampeni yake ya kwanza ya urais mwaka 2008.
Baadaye Clinton alitangaza rasmi ugombea wake katika...
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Hillary Clinton atangaza kugombea urais
Mke wa rais wa zamani wa Marekani, Bill Clinton, Bibi Clinton ametangaza azma ya kugombea urais nchini Marekani
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Bi Hillary Clinton awalaumu wapinzani
Anayedhaniwa kuwa mstari wa mbele katika uteuzi wa Urais katika chama cha Democratic, Hillary Clinton, amewalaumu wapinzani wake wa chama cha Republican kwa kutumia vifo vya wanadiplomasia nchini Libya kujinufaisha kisiasa.
9 years ago
CNN22 Oct
Is Tanzania having a Hillary Clinton moment?
CNN
Is Tanzania having a Hillary Clinton moment?
CNN
Reporting for this story was made possible by the International Women's Media Foundation's African Great Lakes Reporting Initiative. (CNN) Rehema Mayuya has caused quite the scandal. It started when she convinced her 56-year-old husband, Thabit Yusuf ...
9 years ago
GPLBARUA PEPE ZA HILLARY CLINTON KUKAGULIWA
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Bi. Hillary Clinton. New York, Marekani Maelfu ya kurasa za barua pepe (emails) binafsi za aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Bi. Hillary Clinton zilizotumwa kwa anuani binafsi ya Waziri huyo, zimewekwa wazi hii leo na idara za Usalama nchini humo. Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema kuwa, kati ya barua pepe hizo, 150 kati yake ni zile zinazodaiwa kuwa na taarifa...
10 years ago
Habarileo27 Sep
Bill, Hillary Clinton wapata mjukuu
CHELSEA Clinton wa Rais wa zamani wa Marekani, Bill Clinton na mkewe Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Hillary Clinton, amejifungua mtoto wa kike.
9 years ago
Breitbart News23 Oct
Hillary Clinton Admits She Broke US Law in Benghazi
Breitbart News
Hillary Clinton Admits She Broke US Law in Benghazi
Breitbart News
Hillary Clinton admitted to the House Select Committee on Benghazi on Wednesday evening that she broke the law in handling security for the U.S. consulate there. Under patient but persistent questioning from. Rep. Susan Brooks (R-IN). 33%. Liberty Score.
Rep. Brooks Pushes Right-Wing Media Falsehood That Clinton Should Have Signed ...Media Matters for America
all 3
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania