‘Wanawake CCM msiwachague viongozi watoa rushwa’
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga amewataka wafuasi wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho mkoani hapa kutowachagua viongozi wapenda rushwa kwa kuwa ni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Oct
Makamba: CCM isipitishe watoa rushwa kugombea urais 2015
11 years ago
Dewji Blog21 Sep
CCM kuanza kuwatimua viongozi wavivu, wasio na kazi na wala rushwa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara mjini Mlandizi, Kibaha Vijijini, ambapo alisema kua CCM itaanza kuwafukuza viongozi wabovu na wala rushwa. Kinana yupo mkoani Pwani kuimarisha uhai wa chama, kuhimiza, na kusukuma utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia kaaikia wananchi kuhusu tika mkutano wa hadhara Mlandizi, Kibaha Vijijini, ambapo aliwananga wapinzania kwamba wanahangaika na maandamano...
11 years ago
GPLCCM KUANZA KUWATIMUA VIONGOZI WAVIVU,WASIO NA KAZI NA WALA RUSHWA
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Siku ya wanawake duniani 2020: Wanawake watoa wito wa usawa
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Makandarasi watoa rushwa waonywa
SERIKALI imewaonya baadhi ya makandarasi nchini wenye tabia ya kuwahonga watumishi wa serikali, ili waweze kupata zabuni za ujenzi wa miradi mbalimbali. Onyo hilo lilitolewa jijini Dar es Salam mwishoni...
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Takukuru kulipua watoa rushwa baada ya uchaguzi
10 years ago
Habarileo18 Jan
Watoa haki washauriwa kukabili rushwa ya ngono
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohammed Othman Chande amewataka majaji, mahakimu na wasaidizi wa sheria, kufuata maadili ya kazi hiyo, pamoja na kuongoza mapambano dhidi ya rushwa hasa ya ngono ambayo inaonekana kukithiri.
5 years ago
Michuzi
MAKAMU WA PILI WA RAIS BALOZI SEIF ALI IDD AONYA WATOA RUSHWA
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd amewaonya baadhi ya wanachama wa chama cha Mapinduzi wanaotaka kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kupitia chama hicho kujiepusha na matumizi ya fedha katika kutafuta nafasi za uongozi kwani kufanya hivyo ni kukiuka katiba ya Chama hicho.
Aidha Barozi Seif Ali Idd ameonya kuwa kuna baadhi ya watu wenye nia ya kugombea uongozi lakini badala ya kwenda wenyewe wanatuma watu wengine kutoa rushwa kwa niaba...
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Mwenyekiti wa UVCCM Singida, asema watoa rushwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu, wasichaguliwe
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida, Martin Lissu akizungumza kwenye mkutano mkuu wa Uchaguzi wa UVCCM Wilaya ya Singida Mjini juzi, Lissu alikemea vitendo vya rushwa ndani ya CCM.
Martin Lissu Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Singida.
Katibu wa UVCCM, Wilaya ya Singida Mjini, Pamfil James akisoma taarifa ya chama kwa wajumbe wa mkutano mkuu huo.
Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Singida wakiwa wanasubiri matokeo ya uchaguzi huo.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Wilaya ya...