RAZA AWAPONDA WANAOTUMIA FEDHA KUWANIA MADARAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XOYCWbmFPs4/VVhwygVSnZI/AAAAAAABZl4/TSdaOQNSSYQ/s72-c/raza1.jpg)
Mwakilishi wa Baraza la Wawakilishi jimbo la Uzini (CCM), Mohamed Raza ( kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo juu ya mustakabali wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Vincent Tiganya.
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mohammed Raza, ameshtushwa na baadhi ya wagombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano kumwaga mabilioni yafedha chafu Zanzibar ili kuwashawishi baadhi Wajumbe wa chama hicho kuwaunga...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2XtV9vnMb2Q/VaYiJgLKFwI/AAAAAAAHp2M/fwGgt8wmvAY/s72-c/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
RAZA ACHUKUA FOMU YA KUWANIA UWAKILISHI JIMBO LA UZINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2XtV9vnMb2Q/VaYiJgLKFwI/AAAAAAAHp2M/fwGgt8wmvAY/s640/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d3Wptu3bcrk/VaYiMKRk7EI/AAAAAAAHp2U/leBXy3pmFCg/s640/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Waziri wa Fedha Zanzibar amshikia Raza bango la kodi
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
‘Msiwachague wanaotumia fedha chafu’
WATANZANIA wametakiwa kuwaadabisha kwa kutowachagua viongozi mafisadi wanaotaka kuingia madarakani kwa kutumia fedha chafu katika chaguzi zijazo. Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Madini nchini, Richard Kasesela wakati...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cJld9uKSJ1s/VR9xDiIxn1I/AAAAAAAHPRI/NRnk9HCEwnw/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
MH. MAKALLA ACHANGIWA FEDHA ZA KUCHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MVOMERO
Tukio la kuchangiwa fedha za kuchukulia fomu lilichagizwa na Naibu Waziri wa Afya, Dk. Stephen Kebwe aliyefanya ziara ya kukagua hospitali teule ya Bwagala na kisha kuongea na wananchi kwenye mkutano mkubwa wa hadhara.
Alipopanda jukwaani, Dk. Stephen Kebwe...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CxObUP2s7es/VXBUQ-bPA1I/AAAAAAAHb7c/vLW9V5eKU9E/s72-c/Lowassa_Yusuf%2BBundala%2BKasubi2.jpg)
wanaCCM mkoani Tabora wamchangia mh. Lowassa fedha za kuchukulia fomu ya kuwania Urais
![](http://2.bp.blogspot.com/-CxObUP2s7es/VXBUQ-bPA1I/AAAAAAAHb7c/vLW9V5eKU9E/s640/Lowassa_Yusuf%2BBundala%2BKasubi2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D7v_599zWHA/VXBUSbBqsYI/AAAAAAAHb7w/hJe2CSG_bgU/s640/Majaliwa%2BBilali.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h1JZXy1Nro4/VUb-ip179AI/AAAAAAAHVCw/S_avItByED4/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Makalla aendelea kuchangiwa fedha za kuchukua fomu ya kuwania Ubunge jimbo la Mvomero
Katika mkutano mkubwa wa kihistoria wanawake wa matawi walimtaka mbunge huyo wakati ukifika achukue fomu na wao wanamuahidi ushindi ndani ya chama na nje ya...
10 years ago
MichuziMaalim Seif Sharif achangiwa fedha za kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya urais wa zanzibar wakati utakapofika
![](http://1.bp.blogspot.com/-1wHIke9KY-4/VUeHiVrXtVI/AAAAAAAHVRc/LwrBuoqjEBY/s640/ud2.jpg)
10 years ago
Habarileo12 Aug
Awaponda wanaohamia upinzani
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chadema, wilaya ya Monduli, mkoani Arusha, Amani Silanga amesema wanachama wanaotoka CCM na kujiunga na vyama vya upinzani ni mamluki na virusi wanaotafuta umaarufu wa kimaslahi.
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Darasa awaponda wanaomuiga Diamond
NA HERIETH FAUSTINE
MKALI wa hip hop nchini, Darasa amewaponda wasanii wanaoiga njia anazotumia msanii mwenzao, Diamond Platinum, kutangaza muziki wake nje ya nchi wakati hawajajiimarisha katika soko la ndani.
“Diamond alishafanya vitu vingi vizuri nyumbani na Afrika Mashariki kwa hiyo kwake ni wakati sahihi, kupitia kazi anazoendelea kufanya kwa kuwa ndani anakubalika hivyo nje nako ni rahisi kuendelea kukubalika,” alieleza Darasa.
Darasa aliendelea kuwafungua macho wasanii anaowaponda kwa...