Darasa awaponda wanaomuiga Diamond
NA HERIETH FAUSTINE
MKALI wa hip hop nchini, Darasa amewaponda wasanii wanaoiga njia anazotumia msanii mwenzao, Diamond Platinum, kutangaza muziki wake nje ya nchi wakati hawajajiimarisha katika soko la ndani.
“Diamond alishafanya vitu vingi vizuri nyumbani na Afrika Mashariki kwa hiyo kwake ni wakati sahihi, kupitia kazi anazoendelea kufanya kwa kuwa ndani anakubalika hivyo nje nako ni rahisi kuendelea kukubalika,” alieleza Darasa.
Darasa aliendelea kuwafungua macho wasanii anaowaponda kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 Nov
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Nusu ya wanafunzi darasa la saba hawawezi Kiingereza cha darasa la pili
10 years ago
Habarileo12 Aug
Awaponda wanaohamia upinzani
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chadema, wilaya ya Monduli, mkoani Arusha, Amani Silanga amesema wanachama wanaotoka CCM na kujiunga na vyama vya upinzani ni mamluki na virusi wanaotafuta umaarufu wa kimaslahi.
9 years ago
Mtanzania16 Sep
MC Simon awaponda mastaa wa Bongo Movie
NA SHARIFA MMASI
MSHEREHESHAJI mahiri nchini, Simon Mbwana, maarufu kwa jina la MC Simon, amewatupia lawama waandaaji na watunzi wa filamu za kibongo nchini kwamba hawana upeo mpana katika utunzi wao.
Alisema katika filamu yake anayotarajia kuiachia muda wowote ikikamilika itaonyesha mfano wa kuigwa na wakongwe hao katika utunzi na uchezaji anaoamini utaondoa pengo kubwa lililopo katika utunzi wa hadithi za tamthilia za kibongo.
“Tanzania ipo nyuma kimaendeleo katika filamu kwa kuwa si...
11 years ago
Habarileo24 Feb
Barongo awaponda mashabiki wa serikali tatu
KATIBU mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, John Barongo amewapinga viongozi wanaounga mkono mfumo wa serikali tatu unaozungumziwa katika rasimu ya mapendekezo ya Katiba mpya, kwa madai kuwa ni walafi wa madaraka na wanafanya hivyo kwa maslahi yao wenyewe si ya nchi.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XOYCWbmFPs4/VVhwygVSnZI/AAAAAAABZl4/TSdaOQNSSYQ/s72-c/raza1.jpg)
RAZA AWAPONDA WANAOTUMIA FEDHA KUWANIA MADARAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XOYCWbmFPs4/VVhwygVSnZI/AAAAAAABZl4/TSdaOQNSSYQ/s640/raza1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F46LzFnzyW4/VVhw3n40_sI/AAAAAAABZmE/2vhV7zb7reY/s640/raza6.jpg)
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mohammed Raza, ameshtushwa na baadhi ya wagombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano kumwaga mabilioni yafedha chafu Zanzibar ili kuwashawishi baadhi Wajumbe wa chama hicho kuwaunga...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Trump asheherekea ushindi,awaponda wapinzani wake
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Askofu awaponda viongozi wa dini bunge maalum
ASKOFU wa Kanisa la Hossana Life Mission, Ephraim Mwansasu, amesema asilimia 85 ya viongozi wa dini waliyoko ndani ya Bunge Maalum la Katiba wameshindwa kupigania maoni ya wananchi, badala yake...
10 years ago
Bongo Movies25 Dec
Mtunsy Awaponda Wadada Wanaojidai Kuwa na Wachumba Nchi za Nje
Muigizaji nguli na muongozaji wa filamu za kibongo, Nice Mohamed “Mtunisy” leo amewatolea uvivu wale wadada amabao wana dai kuwa na wachumba wao wapo nnje ya nchi. Hivi ndivyo alivyofunguka kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGRAM.
"Duh yaelekea huko nchi za nje kuna WACHUMBA wa dada zetu wengi hapa nchini maana kila mdada ukimuuliza mchumba wake anakuambia yupo NJE cha ajabu miaka inakatika wamuona yupo mwenyewe tu hebu nyie WACHUMBA mlio huko NJE rudini basi muje kuwaoa hawa...