Trump asheherekea ushindi,awaponda wapinzani wake
Siku moja baada ya kuondolewa mashtaka dhidi yake Rais Donald Trump amewaponda wapinzani wake akiwaita maadui zake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKINANA AWAPONDA WAPINZANI KWA TABIA YAO YA KUANDAA MAANDAMANO BADALA YA MANDELEO YA WANANCHI
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-OhJUU6SKV4A/VnSv5UeA_dI/AAAAAAAAXeA/8ML7qtZiT7I/s72-c/LISU-620x309.jpg)
Lissu awagalagaza wapinzani wake
JAJI wa mahakama kuu ya Dodoma jaji Seheni, ametupilia mbali maombi ya Jonathan Njau (CCM) ya kutaka apunguziwe gharama ya uendeshaji wa keshi ya kupinga uchaguzi nafasi ya ubunge dhidi ya mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu (Chadema). Anaandika Dany Tibason, Dodoma … (endelea).Katika kesi hiyo namba 1 ya mwaka 2015 Njau aliomba asitoe kiasi cha shilingi milioni 15 ambacho kipo kisheria
10 years ago
Mwananchi23 Apr
CCM inatengeneza wapinzani wake yenyewe
Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kusema: “Hakuna vyama vya upinzani vyenye uwezo wa kuing’oa CCM madarakani, upinzani wa kweli utatoka CCM, wenyewe kwa wenyewe watatofautiana kisha wataanzisha chama chao.
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Mugabe awashtumu wapinzani wake chamani
Rais Robert Mugabe amewalaumu watu fulani ndani ya chama tawala cha ZANU-PF kwamba wanapanga kumng'atua mamlakani.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-lgighmXnzqU/VAbhQChtbLI/AAAAAAAABmU/GlpTcthcNmI/s72-c/Samuel%2BSitta.jpeg)
MBIO ZA URAIS 2015 Sitta awararua wapinzani wake
Awafananisha na wachekeshaji wa mfalmeWasifu wake ukiaminiwa, atajitosa kuwaniaAtuma salamu yuko imara, hatishiwi nyauNa Happiness Mtweve, Dodoma
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameibuka na kujibu mapigo dhidi ya watu wanaomkejeli na kumtolea lugha za matusi kuwa ni sawa na wachekeshaji wa mfalme.
Amesema yuko imara na kamwe hawezi kutishwa na kauli za watu wasio na maono na kwamba, ataongoza bunge hilo kwa kasi na viwango vile vile.
Akifungua kikao cha Bunge hilo baada ya...
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameibuka na kujibu mapigo dhidi ya watu wanaomkejeli na kumtolea lugha za matusi kuwa ni sawa na wachekeshaji wa mfalme.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lgighmXnzqU/VAbhQChtbLI/AAAAAAAABmU/GlpTcthcNmI/s1600/Samuel%2BSitta.jpeg)
Akifungua kikao cha Bunge hilo baada ya...
5 years ago
BBCSwahili22 Jun
Kampeni ya Trump yakanusha idadi ndogo kuhudhuria mkutano wake
Vijana wadogo wanasemekana kuwa walijiandikisha kununua tiketi wakiwa na nia ya kutohudhuria mkutano huo kwa lengo la kuhakikisha viti vinabaki tupu katika mkutano huo.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gEvEsX4FLfU/VdsZ6xxfzlI/AAAAAAAHzo4/xIWnkz_1cF4/s72-c/DSC_0153.jpg)
FILIKUNJOMBE NJIA NYEUPE UBUNGE WAPINZANI WAKE WAINGIA MITINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-gEvEsX4FLfU/VdsZ6xxfzlI/AAAAAAAHzo4/xIWnkz_1cF4/s640/DSC_0153.jpg)
Na matukiodaimaBlog Ludewa ALIYEKUWA mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe (CCM) amepita bila kupingwa baada ya mgombea wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) Barthomew Mkinga kushindwa kutimiza Masharti na Taratibu za Ujazaji wa Fomu.
Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Ludewa Bw Wiliam Waziri alisema jana kuwa Mgombea wa Chadema ameshindwa kutimiza taratibu za ujazaji wa fomu hizo hivyo kukosa sifa ya kuwa Mgombea wa Ubunge...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Filikunjombe apita bila kupingwa, wapinzani wake waingia mitini na fomu
![](http://lh3.googleusercontent.com/-j_awmLdlqTQ/VdsZpAdIRAI/AAAAAAACAEY/Buc04cooQOE/s640/blogger-image--1635206624.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-4RDuPCMDd1E/VdsVXTvQwbI/AAAAAAACAEM/JlChphoiar4/s640/blogger-image--816864011.jpg)
![blogger-image-737464366](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/blogger-image-737464366.jpg)
Mzee Kada wa Chadema akimpongeza mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe baada ya kupewa barua ya kupita bila kupingwa.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-ha9uY3b3FRo/VdsTx91s_8I/AAAAAAACADo/OqlD12You68/s640/blogger-image-2045842457.jpg)
![blogger-image--1715103721](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/blogger-image-1715103721.jpg)
Filikunjombe akionyesha barua ya kupita bila kupingwa.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-TUU_ukM5QV8/VdsT2STiLSI/AAAAAAACADw/chGpXPraTPM/s640/blogger-image--1568280623.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Jun
Je,Trump yuko mashakani kwa msimamo wake kuhusu ubaguzi wa rangi?
Je changamoto hizi za maandamano dhidi ya ubaguzi zina uwezekano wa kumfanya Trump kuwa na nafasi ndogo kuchaguliwa tena?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10