Mugabe awashtumu wapinzani wake chamani
Rais Robert Mugabe amewalaumu watu fulani ndani ya chama tawala cha ZANU-PF kwamba wanapanga kumng'atua mamlakani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Mugabe azomewa na wapinzani
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amezomewa na wabunge wa upinzani alipokuwa anahutubia nchi kupitia bunge la nchi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Ni nani wapinzani wakuu wa Mugabe?
Chama tawala nchini Zimbabwe Zanu-PFklinafanya kongamano lake la kuchagua vigogo wa chama mwezi huu.
10 years ago
Vijimambo05 Dec
Mugabe kwa wapinzani:'Sing'atuki ng'o!'-BBC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/07/04/140704060731_mugabe_mashamba_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Akihutubia kongamano la chama hicho, Mugabe amesema kuwa kuna majaribio ya kuwahonga wajumbe kumpinga kama kiongozi, lakini wajumbe hawawezi kupokea hongo.
Kwa hilo amesema kuwa atapambana na rushwa ndani ya chamana kukabiliana na maafisa wa chama ambao kazi yao ni kutoa hongo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/04/141204173006_congress_1.jpg)
Hasira ya Mugabe iliokana...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-OhJUU6SKV4A/VnSv5UeA_dI/AAAAAAAAXeA/8ML7qtZiT7I/s72-c/LISU-620x309.jpg)
Lissu awagalagaza wapinzani wake
JAJI wa mahakama kuu ya Dodoma jaji Seheni, ametupilia mbali maombi ya Jonathan Njau (CCM) ya kutaka apunguziwe gharama ya uendeshaji wa keshi ya kupinga uchaguzi nafasi ya ubunge dhidi ya mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu (Chadema). Anaandika Dany Tibason, Dodoma … (endelea).Katika kesi hiyo namba 1 ya mwaka 2015 Njau aliomba asitoe kiasi cha shilingi milioni 15 ambacho kipo kisheria
10 years ago
Mwananchi23 Apr
CCM inatengeneza wapinzani wake yenyewe
Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kusema: “Hakuna vyama vya upinzani vyenye uwezo wa kuing’oa CCM madarakani, upinzani wa kweli utatoka CCM, wenyewe kwa wenyewe watatofautiana kisha wataanzisha chama chao.
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Rais Mugabe atimua mawaziri wake
Raisi Robert Mugabe wa Zimbabwe, amewafukuza kazi mawaziri wake wawili na manaibu waziri watano hatua ambayo imemkumba pia aliyekuwa makamu wake Joyce Mujuru.
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Mugabe amfuta kazi makamu wake
Rais Robert Mugabe amemfuta kazi makamu wake Joice Mujuru, kufuatia ushindani wa uongozi katika chama tawala cha ZANU-PF.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Trump asheherekea ushindi,awaponda wapinzani wake
Siku moja baada ya kuondolewa mashtaka dhidi yake Rais Donald Trump amewaponda wapinzani wake akiwaita maadui zake.
10 years ago
Vijimambo10 Dec
Rais Mugabe amfuta kazi makamu wake
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/09/141209103755_joyce_mujuru_624x351__nocredit.jpg)
Taarifa kutoka nchini Zimbabwe zinasema kuwa Rais Robert Mugabe amemfuta kazi makamu wake Joice Mujuru, kufuatia ushindani wa uongozi katika chama tawala cha ZANU-PF.
Awali Bi Joyce Mujuru, alikanusha madai kuwa yeye ni mfisadi na alihusika na njama ya kutaka kumuua rais Robert Mugabe.
Bi Mujuru alilaaniwa na Rais Mugabe wiki iliyopita na kuondolewa kutoka wadhifa wake wa makamu wa rais wa chama tawala cha ZANU-PF wakati wa kongamano la chama hicho mjini Harare.
Amesema ameendelea kupokea...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania