Mugabe azomewa na wapinzani
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amezomewa na wabunge wa upinzani alipokuwa anahutubia nchi kupitia bunge la nchi hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV26 Aug
Mugabe azomewa na wapinzania.
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amezomewa na wabunge wa upinzani alipokuwa anahutubia nchi kupitia bunge la nchi hiyo. Wakati wa hotuba hiyo kulikua na kelele za wabunge kiasi cha sauti ya kiongozi huyo kutosikika vizuri. Wabunge hao wanadai kuwa hakukua na jipya katika mipango aliyoeleza Rais Mugabe kuisaidia nchi hiyo kuondoka katika mgogoro wa kiuchumi unaoukabili. Pia waliimba nyimbo kuhusu chama tawala nchini humo kupoteza mvuto. Wabunge wa chama tawala cha...
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Ni nani wapinzani wakuu wa Mugabe?
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Mugabe awashtumu wapinzani wake chamani
10 years ago
Vijimambo05 Dec
Mugabe kwa wapinzani:'Sing'atuki ng'o!'-BBC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/07/04/140704060731_mugabe_mashamba_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Akihutubia kongamano la chama hicho, Mugabe amesema kuwa kuna majaribio ya kuwahonga wajumbe kumpinga kama kiongozi, lakini wajumbe hawawezi kupokea hongo.
Kwa hilo amesema kuwa atapambana na rushwa ndani ya chamana kukabiliana na maafisa wa chama ambao kazi yao ni kutoa hongo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/04/141204173006_congress_1.jpg)
Hasira ya Mugabe iliokana...
10 years ago
Vijimambo28 Nov
Muhongo azomewa
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.thecitizen.co.tz/image/view/-/2365608/lowRes/772547/-/10a0l6uz/-/Muhongo+px.jpg)
Mbali na kukumbana na wakati mgumu kabla na wakati...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Mbunge azomewa bungeni
MBUNGE wa Arumeru Magharibi, Dk. Godluck Ole Medeye (CCM), amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuzomewa na baadhi ya wabunge wenzake kutokana na kushindwa kuuliza swali la nyongeza. Hali hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Nahodha azomewa bungeni
HARAKATI za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuzima hoja za wapinzani jana nusura ziligharimu Bunge, baada ya Mwenyekiti wa Kamati namba tano ya Bunge Maalumu la Katiba, Shamsi Vuai Nahodha,...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Profesa Tibaijuka azomewa
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Diwani azomewa kwa kashfa
DIWANI wa viti maalum (CCM) kata ya kalangalala mkoani hapa, Zaituni Fundikira, amejikuta akizomewa na wananchi baada ya kutoa maneno ya kashfa. Tukio hilo lilitokea jana katika mkutano wa hadhara...