Mtunsy Awaponda Wadada Wanaojidai Kuwa na Wachumba Nchi za Nje
Muigizaji nguli na muongozaji wa filamu za kibongo, Nice Mohamed “Mtunisy” leo amewatolea uvivu wale wadada amabao wana dai kuwa na wachumba wao wapo nnje ya nchi. Hivi ndivyo alivyofunguka kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGRAM.
"Duh yaelekea huko nchi za nje kuna WACHUMBA wa dada zetu wengi hapa nchini maana kila mdada ukimuuliza mchumba wake anakuambia yupo NJE cha ajabu miaka inakatika wamuona yupo mwenyewe tu hebu nyie WACHUMBA mlio huko NJE rudini basi muje kuwaoa hawa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RCRb0-lSfa0/XsldA4nyjZI/AAAAAAALrY0/zIPOBGqaw54y7vknjfoz5xFs7RhTa-wMwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.-1-768x512.jpg)
MANYANYA AAGIZA BIDHAA ZA SAMAKI ZOTE ZINAZIUZWA NJE YA NCHI KUWEKEWA ALAMA ILI KUONYESHA KUWA ZINATOKA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RCRb0-lSfa0/XsldA4nyjZI/AAAAAAALrY0/zIPOBGqaw54y7vknjfoz5xFs7RhTa-wMwCLcBGAsYHQ/s640/2.-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3.-1024x683.jpg)
Wafanyakazi wa kiwanda cha kuchakata samaki cha Tanzania Fish Processors Ltd wakiendelea na kazi ya uchakataji wa samakiwanaosafirishwa na kuuzwa katika nchi mbalimbali
Picha na Eliud Rwechungura – Wizara ya viwanda na Biashara...
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Ukosefu wa huduma za afya za kisasa na uhakika zadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania kufuata huduma hiyo nje ya nchi
. Ukosefu wa huduma za afya za uhakika na za kisasa zinadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania wengi kufuata huduma hizo nchi za nje.
Hospitali ya Apollo ilikuwa moja ya hospitali za mwanzo kabisa katika bara la Asia, na duniani kwa ujumla kuleta huduma zote za kiafya chini ya paa moja. Na kwa wakati huu, mpango huo kabambe umeifanya hospitali hiyo kufanikiwa katika Nyanja zote za matibabu.
Dr. Prathap C Reddy, muasisi wa huduma za kiafya za kisasa nchini india, alianzisha hospitali ya...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Walio nje ya nchi waonyeshe kwa vitendo watasaidia vipi nchi
TUMESHAZOEA maneno ya wanasiasa wanapopiga kampeni za kutafuta kuchaguliwa na wananchi. Wengi wao wanakuja na ahadi kemkem kama njia ya kutaka kuwavutia watu kuwa wao ndio wanafaa katika nafasi hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H3yK9HZUKjw/U_8Tw9CETlI/AAAAAAAGKq4/Zdf2fqmuGMk/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kufanyika Agosti 29, jijini Dar
Alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar-es-salaam kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa...
10 years ago
GPLMKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE KUTOKA NCHI ZA KAMATI YA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
CloudsFM29 Jun
Faiza Awashukia Wanaojidai Kumrekebisha
Kutoka kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao picha wa instagram,Faiza Ally ameandika;
Nyinyi mnao kuja hapa na kunirekebisha komeni- nendeni makwenu mkarekebishe familia zenu mm- fanyenyi kazi,fanyeni yenye maana kwa maendeleo yenu binfsi mimi na niacheni ni dili na yangu na maisha yangu- shikeni adabu zenu , anzeni kubadilisha familia zenu! maisha yenu! mahusiano yenu na matatizo yenu!
Nasema hivi mimi ntabaki kuwa yule yule- na nyinyi mlionicheka baada ya ku post natembea beach na dira-...
9 years ago
Mtanzania18 Aug
Sauti Sol kutafuta wachumba Tanzania
Nairobi, Kenya
KUNDI linalofanya vizuri na wimbo wao wa ‘Nerea’ kutoka nchini Kenya, Sauti Sol, limetangaza kutafuta wachumba wa kuoa nchini Tanzania, huku wakiwaomba radhi wasichana wa Kenya.
“Samahani kwa wasichana wa nchini Kenya kutokana na maamuzi yetu ya kutaka kuoa huku Tanzania. Dar es Salaam? Kwa sasa tunatafuta warembo wa kuwaoa,” waliandika wasanii hao kupitia akauti yao ya Twitter.
Wasanii hao kwa sasa wanafanya vizuri nchini humo na wamefanikiwa kuchukua tuzo mbalimbali nje ya...
10 years ago
Bongo Movies29 Jun
Faiza Awashukia Wanaojidai Kumrekebisha, Adai Wamkomee
Kutoka kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao picha wa instagram,Faiza Ally ameandika;
Nyinyi mnao kuja hapa na kunirekebisha komeni- nendeni makwenu mkarekebishe familia zenu mm- fanyenyi kazi,fanyeni yenye maana kwa maendeleo yenu binfsi mimi na niacheni ni dili na yangu na maisha yangu- shikeni adabu zenu , anzeni kubadilisha familia zenu! maisha yenu! mahusiano yenu na matatizo yenu!
Nasema hivi mimi ntabaki kuwa yule yule- na nyinyi mlionicheka baada ya ku post natembea beach na dira-...