Faiza Awashukia Wanaojidai Kumrekebisha
Kutoka kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao picha wa instagram,Faiza Ally ameandika;
Nyinyi mnao kuja hapa na kunirekebisha komeni- nendeni makwenu mkarekebishe familia zenu mm- fanyenyi kazi,fanyeni yenye maana kwa maendeleo yenu binfsi mimi na niacheni ni dili na yangu na maisha yangu- shikeni adabu zenu , anzeni kubadilisha familia zenu! maisha yenu! mahusiano yenu na matatizo yenu!
Nasema hivi mimi ntabaki kuwa yule yule- na nyinyi mlionicheka baada ya ku post natembea beach na dira-...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies29 Jun
Faiza Awashukia Wanaojidai Kumrekebisha, Adai Wamkomee
Kutoka kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao picha wa instagram,Faiza Ally ameandika;
Nyinyi mnao kuja hapa na kunirekebisha komeni- nendeni makwenu mkarekebishe familia zenu mm- fanyenyi kazi,fanyeni yenye maana kwa maendeleo yenu binfsi mimi na niacheni ni dili na yangu na maisha yangu- shikeni adabu zenu , anzeni kubadilisha familia zenu! maisha yenu! mahusiano yenu na matatizo yenu!
Nasema hivi mimi ntabaki kuwa yule yule- na nyinyi mlionicheka baada ya ku post natembea beach na dira-...
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Faiza Awashukia Mastaa Wanaobweteka Wakishapata Mabwana na Kununuliwa Magari
Haya ndio maoni ya mrembo na staa wa Bongo Movies, Faiza Ally juu ya sanaa ya uigizaji hapa Bongo, ususani vipaji vipya.
“Kama wasanii wa kuigiza filamu wangekua kweli wako kisanaa na wanapenda kazi zao basi naamini vipaji vingeongezeka mara dufu lakini tatizo wakisha pata mabwana tu na kununuliwa magari wanasahau kabisa .
Kazi zao wanakua sio wabunifu tena - ubunifu wao unakua kugawana wanaume- kubadilisha nywele- nguo mwisho wa siku wana shuka katika uigizaji.
Kazi zao unakuta katika...
10 years ago
Bongo529 Sep
Sugu na Faiza waachana, Faiza alia kwa uchungu, ‘wanaume nawasihi msiache wake zenu’
10 years ago
Bongo Movies25 Dec
Mtunsy Awaponda Wadada Wanaojidai Kuwa na Wachumba Nchi za Nje
Muigizaji nguli na muongozaji wa filamu za kibongo, Nice Mohamed “Mtunisy” leo amewatolea uvivu wale wadada amabao wana dai kuwa na wachumba wao wapo nnje ya nchi. Hivi ndivyo alivyofunguka kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGRAM.
"Duh yaelekea huko nchi za nje kuna WACHUMBA wa dada zetu wengi hapa nchini maana kila mdada ukimuuliza mchumba wake anakuambia yupo NJE cha ajabu miaka inakatika wamuona yupo mwenyewe tu hebu nyie WACHUMBA mlio huko NJE rudini basi muje kuwaoa hawa...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
DC awashukia wafugaji
MKUU wa Wilaya (DC) ya Kiteto, Martha Umbula, amewashukia wafugaji wa jamii ya Kimasai kuwa ni wakorofi na ndiyo maana kunatokea majanga kati ya wakulima na wafugaji. Amesema jamii hiyo...
10 years ago
Mtanzania08 Oct
JK awashukia mabalozi
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuna ushahidi unaothibitisha baadhi ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini,wamekuwa wakichaganya dini na siasa na hata kutumia udini kuunga mkono shughuli za baadhi ya vyama vya siasa.
Kutokana na hali hiyo, amewaomba mabalozi hao kuiokoa Tanzania katika majanga makubwa yanayoweza kuipata kwa kutumia dini kuendeleza siasa, hatua ambayo amesema ni ya hatari.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo juzi wakati...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Kubenea awashukia NEC
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Kamanda Mpinga ‘awashukia’ watendaji
9 years ago
Mwananchi07 Oct
RC Msangi awashukia waratibu wa elimu