Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Faiza Awashukia Wanaojidai Kumrekebisha

Kutoka kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao picha wa instagram,Faiza Ally ameandika;

Nyinyi mnao kuja hapa na kunirekebisha komeni- nendeni makwenu mkarekebishe familia zenu mm- fanyenyi kazi,fanyeni yenye maana kwa maendeleo yenu binfsi mimi na niacheni ni dili na yangu na maisha yangu- shikeni adabu zenu , anzeni kubadilisha familia zenu! maisha yenu! mahusiano yenu na matatizo yenu!

Nasema hivi mimi ntabaki kuwa yule yule- na nyinyi mlionicheka baada ya ku post natembea beach na dira-...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Faiza Awashukia Wanaojidai Kumrekebisha, Adai Wamkomee

Kutoka kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao picha wa instagram,Faiza Ally ameandika;

Nyinyi mnao kuja hapa na kunirekebisha komeni- nendeni makwenu mkarekebishe familia zenu mm- fanyenyi kazi,fanyeni yenye maana kwa maendeleo yenu binfsi mimi na niacheni ni dili na yangu na maisha yangu- shikeni adabu zenu , anzeni kubadilisha familia zenu! maisha yenu! mahusiano yenu na matatizo yenu!

Nasema hivi mimi ntabaki kuwa yule yule- na nyinyi mlionicheka baada ya ku post natembea beach na dira-...

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza Awashukia Mastaa Wanaobweteka Wakishapata Mabwana na Kununuliwa Magari

Haya ndio maoni ya mrembo na staa wa Bongo Movies, Faiza Ally juu ya sanaa ya uigizaji hapa Bongo, ususani vipaji vipya.

“Kama wasanii wa kuigiza filamu wangekua kweli wako kisanaa na wanapenda kazi zao basi naamini vipaji vingeongezeka mara dufu lakini tatizo wakisha pata mabwana tu na kununuliwa magari wanasahau kabisa .

Kazi zao wanakua sio wabunifu tena - ubunifu wao unakua kugawana wanaume- kubadilisha nywele- nguo mwisho wa siku wana shuka katika uigizaji.

Kazi zao unakuta katika...

 

10 years ago

Bongo5

Sugu na Faiza waachana, Faiza alia kwa uchungu, ‘wanaume nawasihi msiache wake zenu’

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu ameachana na aliyekuwa mchumbake Faiza Ally. Wawili hao wana mtoto wa kike. Faiza amethibitisha kuachana na Sugu kwenye Instagram kwa kushare pia ya pamoja. “Mtoto wangu wa Faiza na Joseph ana fikisha miaka 2 kesho , nimeangalia kumbu kumbu zangu na baba yake toka mimba yake mpaka […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Mtunsy Awaponda Wadada Wanaojidai Kuwa na Wachumba Nchi za Nje

Muigizaji nguli na muongozaji wa filamu za kibongo, Nice Mohamed “Mtunisy” leo amewatolea uvivu wale wadada amabao wana dai kuwa na wachumba wao wapo nnje ya nchi. Hivi ndivyo alivyofunguka kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGRAM.

"Duh yaelekea huko nchi za nje kuna WACHUMBA wa dada zetu wengi hapa nchini maana kila mdada ukimuuliza mchumba wake anakuambia yupo NJE cha ajabu miaka inakatika wamuona yupo mwenyewe tu hebu nyie WACHUMBA mlio huko NJE rudini basi muje kuwaoa hawa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC awashukia wafugaji

 MKUU wa Wilaya (DC) ya Kiteto, Martha Umbula, amewashukia wafugaji wa jamii ya Kimasai kuwa ni wakorofi na ndiyo maana kunatokea majanga kati ya wakulima na wafugaji. Amesema jamii hiyo...

 

10 years ago

Mtanzania

JK awashukia mabalozi

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RAIS Jakaya Kikwete amesema kuna ushahidi unaothibitisha baadhi ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini,wamekuwa wakichaganya dini na siasa na hata kutumia udini kuunga mkono shughuli za baadhi ya vyama vya siasa.

Kutokana na hali hiyo, amewaomba mabalozi hao kuiokoa Tanzania katika majanga makubwa yanayoweza kuipata kwa kutumia dini kuendeleza siasa, hatua ambayo amesema ni ya hatari.

Rais Kikwete alitoa kauli hiyo juzi wakati...

 

9 years ago

Mwananchi

Kubenea awashukia NEC

Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Saed Kubenea amefichua mbinu za Tume ya uchaguzi (NEC) kukutana na mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Ukumbi wa Kilimanjaro Hoteli.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamanda Mpinga ‘awashukia’ watendaji

Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani nchini imekiri kuwepo kwa watendaji wake wasiokuwa na uadilifu katika kazi zao, ambao waliruhusu gari la Kampuni ya Burudani kuondoka likiwa na abiria zaidi ya 93 bila ya kukaguliwa.

 

9 years ago

Mwananchi

RC Msangi awashukia waratibu wa elimu

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kapteni mstaafu, Aseri Msangi amewashukia waratibu wa elimu kata kuwa wameshindwa kufanya kazi zao kwa makini na kusababisha kiwango cha elimu mkoani humo kuzidi kuporomoka mwaka hadi mwaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani