JK awashukia mabalozi
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuna ushahidi unaothibitisha baadhi ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini,wamekuwa wakichaganya dini na siasa na hata kutumia udini kuunga mkono shughuli za baadhi ya vyama vya siasa.
Kutokana na hali hiyo, amewaomba mabalozi hao kuiokoa Tanzania katika majanga makubwa yanayoweza kuipata kwa kutumia dini kuendeleza siasa, hatua ambayo amesema ni ya hatari.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo juzi wakati...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
DC awashukia wafugaji
MKUU wa Wilaya (DC) ya Kiteto, Martha Umbula, amewashukia wafugaji wa jamii ya Kimasai kuwa ni wakorofi na ndiyo maana kunatokea majanga kati ya wakulima na wafugaji. Amesema jamii hiyo...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Kubenea awashukia NEC
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Machali awashukia wazee CCM
WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametakiwa kuacha kujifanya wao ndiyo magwiji na walimu wa muungano kuliko wengine. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Mjumbe wa Bunge Maalumu la...
11 years ago
Mwananchi29 May
Kinana awashukia wawekezaji Hanang’
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Mkosamali awashukia Kikwete, Makinda
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Mangula awashukia wasaliti CCM
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula amesema chama hicho kamwe hakitawafumbia macho viongozi wasaliti wasiokitakia mema chama hicho.
Amesema wanachama wake, wanatakiwa kuwafichua viongozi wa aina hiyo ili kukinusuru kisipoteze nafasi za majimbo na udiwani katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.
“Endapo mwanachama au kiongozi, akibainika kufanya hujuma dhidi ya chama, atachukuliwa hatua kali ikiwemo ya kufukuzwa uanachama, CCM haina...
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Kinana awashukia viongozi goigoi
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Mutungi awashukia viongozi wa vyama
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Waziri awashukia watendaji mgodini