Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC Msangi awashukia waratibu wa elimu

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kapteni mstaafu, Aseri Msangi amewashukia waratibu wa elimu kata kuwa wameshindwa kufanya kazi zao kwa makini na kusababisha kiwango cha elimu mkoani humo kuzidi kuporomoka mwaka hadi mwaka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Moro wahimizwa motisha waratibu elimu kata

HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro imeshauriwa kujenga tabia ya kutoa motisha kwa waratibu wa elimu kata ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi zaidi.

 

10 years ago

Michuzi

KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA RUKWA AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA SIKU SITA YA WALIMU WAKUU NA WARATIBU ELIMU KATA

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Ndugu Erasmus Rugarabamu akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku sita ya Walimu Wakuu Shule za Msingi na Waratibu Elimu Kata juu ya muongozo wa uendeshaji wa shule (School Management Tool Kit) pamoja na usimamizi wa ufundishaji wa kusoma, kuandika na kuhesabu leo tarehe 03 Julai 2015. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na Serikali kupitia Wizara ya Elimu yanafanyika Mkoani Rukwa katika Chuo cha Ualimu Sumbawanga ambapo jumla ya washirikia 200 kutoka...

 

10 years ago

Dewji Blog

SEMA Singida kutumia Milioni 80 kuwapiga msasa waratibu wa elimu mikoa ya Singida na Dodoma

DSC04523

Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba, akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za maji, elimu na usafi wa mazingira shuleni yaliyohudhuriwa na waratibu kata na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida. Kulia ni Meneja wa SEMA, Ivo  Manyanku na Kushoto ni mwenyekiti wa mafunzo hayo.

DSC04526

Baadhi ya waratibu na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida,waliohudhuria  mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za...

 

11 years ago

Michuzi

NHIF NA CHF LINDI ZATOA ELIMU KWA WANAHABARI NA WARATIBU WA MIFUKO HIYO MKOA WA LINDI

Mkuu wa wilaya ya Lindi,Dr Nassor Ally Hamid akifungua mafunzo kwa wanahabari na waratibu wa NHIF/CHF wa mkoa wa Lindi,Kushoto ni Meneja Nhif Lindi,Bi Fortunata Kullaya na kutoka kulia ni Bw Faustine Nzota,Mshauri wa Mfuko wa Afya na anaefuata ni Mwenyekiti wa Bodi ya Afya Wilaya ya Nachingwea,Christopher Lilai. Meneja wa NHIF Mkoa wa Lindi akitoa taarifa fupi kuhusiana na mfuko huo katika mafunzo ya wanahabari na waratibu wa Mifuko ya CHF na NHIF Lindi. Mratibu wa CHF wilaya ya Liwale...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yampiga ‘Stop’ Msangi

Serikali imesimamisha maandalizi na pambano la ngumi za kulipwa yanayoandaliwa na promota Jay Msangi kutokana na kasoro mbalimbali zilizotokea katika pambano la kwanza lililofanyika mwaka jana.

 

10 years ago

Tanzania Daima

RPC Msangi awachefua CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Mbeya Mjini kimetoa siku tatu kwa Kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi, kukanusha kauli yake aliyotoa hivi karibuni ya kuwa...

 

11 years ago

TheCitizen

NSC ‘bans’ Msangi from organising bouts

The government has suspended promoter Jay Msangi from organising any international fight following payment saga that “tainted” the country’s image last year.

 

10 years ago

IPPmedia

Mbeya Regional Police Commander, Ahmed Msangi


IPPmedia
Mbeya Regional Police Commander, Ahmed Msangi
IPPmedia
Tragedy hit Idweli village in Rungwe Region yesterday when 3 people were burnt to death as they attempted to siphon petrol from an overturned petrol tanker, a practice repeatedly condemned. Eighteen others sustained high degree burns and are admitted ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani