Moro wahimizwa motisha waratibu elimu kata
HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro imeshauriwa kujenga tabia ya kutoa motisha kwa waratibu wa elimu kata ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi zaidi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9WkhAIU9b3w/VZZT4gL1GEI/AAAAAAAAHDE/MirZK2en77w/s72-c/P7039546.jpg)
KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA RUKWA AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA SIKU SITA YA WALIMU WAKUU NA WARATIBU ELIMU KATA
![](http://3.bp.blogspot.com/-9WkhAIU9b3w/VZZT4gL1GEI/AAAAAAAAHDE/MirZK2en77w/s640/P7039546.jpg)
9 years ago
Mwananchi07 Oct
RC Msangi awashukia waratibu wa elimu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kdGVxZ2sC74/XkxEfiZS6AI/AAAAAAALeGc/4VbDWTkmuhEeUyHfzWiDLzYBPaxkagCpQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_75271AA-1024x682.jpg)
OFISA ELIMU NYASA AWACHARUKIA WALIMU WAKUU NA MAAFISA ELIMU KATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kdGVxZ2sC74/XkxEfiZS6AI/AAAAAAALeGc/4VbDWTkmuhEeUyHfzWiDLzYBPaxkagCpQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_75271AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG_75321AA-1024x682.jpg)
Ofisa Elimu msingi Wilaya ya Nyasa Bw. Said Kalima akiongea na Walimu wakuu na Maafisa Elimu kata wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa jana, Katika ukumbi wa Kasimu Majaliwa ulioko katika shule ya Sekondari Mbamba-bay wilayani hapa.Amewaagiza walimu hao kufundisha kwa bidii na kutomvumilia mwalimu mzembe na kupandisha ufaulu ufikie asilimia mia moja kwa Wilaya ya nyasa,kuanzia mwaka huu 2020 na kuendelea.
……………………………………………………………………………………….
Ofisa Elimu Msingi wa Wilaya ya Nyasa Said Kalima,...
10 years ago
MichuziNHIF LINDI WATOA ELIMU KATA KWA KATA KWA WANACHAMA WAKE,SANJARI NA UPIMAJI WA AFYA BURE KWA WANANCHI WILAYANI RUANGWA
10 years ago
Dewji Blog13 Mar
SEMA Singida kutumia Milioni 80 kuwapiga msasa waratibu wa elimu mikoa ya Singida na Dodoma
Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba, akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za maji, elimu na usafi wa mazingira shuleni yaliyohudhuriwa na waratibu kata na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida. Kulia ni Meneja wa SEMA, Ivo Manyanku na Kushoto ni mwenyekiti wa mafunzo hayo.
Baadhi ya waratibu na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida,waliohudhuria mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za...
11 years ago
MichuziNHIF NA CHF LINDI ZATOA ELIMU KWA WANAHABARI NA WARATIBU WA MIFUKO HIYO MKOA WA LINDI
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kata ya Ilala yataja mikakati kuboresha elimu
10 years ago
VijimamboKATA YA MWASANGA NA TEMBELA MKOANI MBEYA ZAPATIWA ELIMU KUHUSU JOTOARDHI
Afisa Mawasiliano wa Kampuni ya Kuendeleza Jotoardhi Tanzania (TGDC) Bi. Johari Kachwamba akiwaelimisha Viongozi wa Kata ya Mwasanga na Tembela kuhusu majukumu ya TGDC leo 7 Agosti, 2015 Mkoani Mbeya.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XsHXXykhehU/VTvkKpvGK4I/AAAAAAAHTRc/wqyWzyvYZHU/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Elimu ya uongozi bora yatolewa kwa viongozi wa vikundi vya vijana Kata ya Selela
![](http://3.bp.blogspot.com/-XsHXXykhehU/VTvkKpvGK4I/AAAAAAAHTRc/wqyWzyvYZHU/s1600/Pix%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YfZZqMYxVJQ/VTvkLF7-GrI/AAAAAAAHTRk/rYlJXiQtagM/s1600/Pix%2B3.jpg)