Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yampiga ‘Stop’ Msangi

Serikali imesimamisha maandalizi na pambano la ngumi za kulipwa yanayoandaliwa na promota Jay Msangi kutokana na kasoro mbalimbali zilizotokea katika pambano la kwanza lililofanyika mwaka jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Yanga yampiga stop Pluijm kupanda ndege

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm.
Na Sweetbert Lukonge
WAKATI harakati za usajili wa wachezaji kwa timu za ligi kuu zikianza kupamba moto, uongozi wa Yanga umempiga ‘stop’ kocha  wake mkuu raia wa Uholanzi, Hans van Der Pluijm, kurejea kwao.
Imedaiwa kuwa sababu kubwa ya uongozi huo kufanya hivyo ni kumtaka kocha huyo ashiriki kikamilifu katika zoezi zima la usajili. Uongozi umesema kama kocha huyo...

 

10 years ago

Vijimambo

MAHAKAMA YAMPIGA STOP DAVIDO KUFANYA ONESHO LA FIESTA LEO KATIKA VIWANJA VYA LEADERS.

 Hii ndiyo taarifa ya Mahakama iliyotolewa jana ya kumzuia Davido kutofanya onesho lolote la Prime Promotion kwani tayari alikuwa keshaingia mkataba na kituo cha Radio Times mkataba wa kufanya onesho hilo Mwanamuziki Davido akishangaa mara baada ya kupokea taarifa za kuzuiwa kufanya onesho lake kwenye jukwaa la Fiesta leo hii Jumamosi kwenye viwanja vya Leaders Club.
Na Sakina ShabaniKweli waliosema mwisho wa ubaya ni aibu waliona mbali sana hivyo ndiyo kituo cha Clouds Fm Radio & Prime...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali ya mtaa Stop Over lawamani

WAKAZI wa Kimara Stop Over, Kata ya Saranga, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, wamemlalamikia Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Stop Over kwa kuwatoza fedha pindi wanapohitaji barua kutoka...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yazipiga ‘stop’ shule binafsi

Dk Shukuru Kawambwa WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa amesema Serikali itazinyang’anya leseni ya uendeshaji shule binafsi, ambazo zimeweka viwango vyake vya ufaulu kwa wanafunzi wanaosoma kwenye shule hizo, tofauti na viwango vya Serikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yapiga ‘stop’ uchimbaji madini

Wizara ya Maliasili na Utalii, imepiga marufuku uchimbaji wa madini ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara.

 

10 years ago

Tanzania Daima

RPC Msangi awachefua CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Mbeya Mjini kimetoa siku tatu kwa Kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi, kukanusha kauli yake aliyotoa hivi karibuni ya kuwa...

 

9 years ago

Mwananchi

RC Msangi awashukia waratibu wa elimu

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kapteni mstaafu, Aseri Msangi amewashukia waratibu wa elimu kata kuwa wameshindwa kufanya kazi zao kwa makini na kusababisha kiwango cha elimu mkoani humo kuzidi kuporomoka mwaka hadi mwaka.

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Zimbabwe - Stop It Tanzania! Stop Provoking Us


IPPmedia
Zimbabwe - Stop It Tanzania! Stop Provoking Us
AllAfrica.com
Tanzania, please stop it. As our good first lady Dr Amai Soon-to-be-Professor Grace Mugabe says - please STOP IT!!! Stop trying to provoke us! From the time that your President, Dr John Pombe Magufuli (JPM), 55, was elected into office on October 25 ...
Can Magufuli convert potential into gains in Tanzania?NewsDay
Uncovered rot a sign of institutional failureIPPmedia
Be thankful you are not in Malawi Dr Magufuli, President of...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani