Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yampiga stop Pluijm kupanda ndege

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm.
Na Sweetbert Lukonge
WAKATI harakati za usajili wa wachezaji kwa timu za ligi kuu zikianza kupamba moto, uongozi wa Yanga umempiga ‘stop’ kocha  wake mkuu raia wa Uholanzi, Hans van Der Pluijm, kurejea kwao.
Imedaiwa kuwa sababu kubwa ya uongozi huo kufanya hivyo ni kumtaka kocha huyo ashiriki kikamilifu katika zoezi zima la usajili. Uongozi umesema kama kocha huyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali yampiga ‘Stop’ Msangi

Serikali imesimamisha maandalizi na pambano la ngumi za kulipwa yanayoandaliwa na promota Jay Msangi kutokana na kasoro mbalimbali zilizotokea katika pambano la kwanza lililofanyika mwaka jana.

 

10 years ago

Vijimambo

MAHAKAMA YAMPIGA STOP DAVIDO KUFANYA ONESHO LA FIESTA LEO KATIKA VIWANJA VYA LEADERS.

 Hii ndiyo taarifa ya Mahakama iliyotolewa jana ya kumzuia Davido kutofanya onesho lolote la Prime Promotion kwani tayari alikuwa keshaingia mkataba na kituo cha Radio Times mkataba wa kufanya onesho hilo Mwanamuziki Davido akishangaa mara baada ya kupokea taarifa za kuzuiwa kufanya onesho lake kwenye jukwaa la Fiesta leo hii Jumamosi kwenye viwanja vya Leaders Club.
Na Sakina ShabaniKweli waliosema mwisho wa ubaya ni aibu waliona mbali sana hivyo ndiyo kituo cha Clouds Fm Radio & Prime...

 

9 years ago

Dewji Blog

Yanga yatangaza kuachana na Niyonzima, yampiga faini Dolla 71,175

Haruna-Niyonzima11

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam imetangaza kuachana na kiungo wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Niyonzima (pichani) kutokana na mchezaji huyo kuvunja masharti ya mkataba na kuwa na utovu wa nidhamu.

Akitangaza uamuzi huo, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro alisema Niyonzima ameshindwa kufuata makubaliano ya mkataba aliyowekeana na klabu hiyo kwa kuvunja kanuni za mkataba alioingia na Yanga.

Muro alisema kuwa Niyonzima amekuwa na tabia ya...

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm: Yanga bingwa

KOCHA wa Yanga, Hans van der Pluijm, amesema timu yake bado ina nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu na kwamba haoni sababu ya mashabiki wa timu hiyo kuwa na hofu. Kwa sasa, Yanga iko katika nafasi ya pili ya msimamo wa ligi ikiwa na pointi 23, kileleni ikiwemo Azam yenye pointi 25.

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm ashtuka Yanga

hans_clipJENNIFER ULLEMBO NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
WAKATI klabu ya Yanga ikiendelea kusajili nyota wake kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa timu hiyo Mholanzi, Hans Van der Pluijm, amewashtukia viongozi wa timu hiyo akieleza anahisi baadhi ya wachezaji waliosajiliwa hadi sasa hakuwapendekeza katika ripoti yake.
Klabu hiyo hadi sasa imefanikiwa kupata saini za wachezaji watatu ambao ni Deus Kaseke aliyetoka Mbeya City, Haji Mwinyi wa Zanzibar na Benedicto Tinoco kutoka Kagera...

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm adai mshahara Yanga

Kocha wa zamani wa Yanga, Hans van Pluijm ameishitaki klabu hiyo kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushindwa kumlipa mshahara wake wa mwezi huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm mwanachama hai Yanga

Uongozi wa Yanga jana uliandaa sherehe fupi ya kumuaga aliyekuwa kocha wao, Hans Pluijm, lakini naye ameahidi kuwa mwanachama hai wa klabu hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani