Yanga yatangaza kuachana na Niyonzima, yampiga faini Dolla 71,175
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam imetangaza kuachana na kiungo wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Niyonzima (pichani) kutokana na mchezaji huyo kuvunja masharti ya mkataba na kuwa na utovu wa nidhamu.
Akitangaza uamuzi huo, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro alisema Niyonzima ameshindwa kufuata makubaliano ya mkataba aliyowekeana na klabu hiyo kwa kuvunja kanuni za mkataba alioingia na Yanga.
Muro alisema kuwa Niyonzima amekuwa na tabia ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qNRWiEacmYM/XvMgLggarQI/AAAAAAABMkw/tjR8Sd3eEoM0VijBZNarfRIqtJzU_5gHwCLcBGAsYHQ/s72-c/EbQPn94XsAYjjXj.jpeg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3jTl2qg9wX2E7GCXc3QVKy07rxYZHOsM7OsC7FtL3TDsgof*hHn*hOWzaREIM0LCtkZ1NJe4QNQb89CRQ23ZSFWVH-drSg3a/kaseja.jpg)
YANGA YATANGAZA KUACHANA NA JUMA KASEJA
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Baada ya kumsimamisha kwa muda usiojulikana, Dec 28 Yanga yatangaza maamuzi magumu kwa Niyonzima …
Baada ya stori za muda mrefu kuhusu kiungo wa kimataifa wa Rwanda anayekipiga katika klabu ya Yanga Haruna Niyonzima, uongozi wa klabu hiyo December 28 umetangaza maamuzi mapya baada ya awali kutangaza kumsimamisha kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu. Yanga wamefikia maamuzi ya kuvunja mkataba na kiungo huyo, baada ya kukaa na kufikiria kwa […]
The post Baada ya kumsimamisha kwa muda usiojulikana, Dec 28 Yanga yatangaza maamuzi magumu kwa Niyonzima … appeared first on...
11 years ago
GPLPAMBANO LA YANGA, MBEYA CITY LAINGIZA MIL 175
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpFovv5QYBwp0t1ScSCizmUGbWnDwQgiQ9NIiH8Lz*IOp30jirrSXFm2bMvGT127-2K2ghhzEe*7j4sv-eksaf4d/YANGA.gif?width=640)
Yanga yampiga stop Pluijm kupanda ndege
10 years ago
TheCitizen18 Sep
Yanga stronger than ever, says Niyonzima
9 years ago
Habarileo15 Dec
Niyonzima aichefua Yanga
KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wake Haruna Niyonzima kuchelewa kuungana na wenzake kwa ajili ya michezo ya ligi huku akishindwa kabisa kutoa sababu zilizomfanya kuchelewa huko.
9 years ago
Habarileo29 Dec
Niyonzima kwaheri Yanga
KLABU ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na mchezaji wake Haruna Niyonzima baada ya kudaiwa kuvunja sheria na taratibu za muajiri wake. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa vyombo vya habari jana, Niyonzima pia atatakiwa kuilipa klabu hiyo dola za Marekani 71,175 kufidia gharama ambazo imezitumia katika kumuongezea mkataba wake mpaka mwaka 2017.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlROqHT2PTi4AU94L*wIQak1fIFtAiaCxebn2Y2Hiq0ogvv*Y6QuhfO4I-fuW5wOSsNGF0rl7SeWdlTjrAKSOK5PZ/ftytty.gif?width=650)
Niyonzima awazimia Yanga simu