Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yatangaza kuachana na Niyonzima, yampiga faini Dolla 71,175

Haruna-Niyonzima11

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam imetangaza kuachana na kiungo wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Niyonzima (pichani) kutokana na mchezaji huyo kuvunja masharti ya mkataba na kuwa na utovu wa nidhamu.

Akitangaza uamuzi huo, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro alisema Niyonzima ameshindwa kufuata makubaliano ya mkataba aliyowekeana na klabu hiyo kwa kuvunja kanuni za mkataba alioingia na Yanga.

Muro alisema kuwa Niyonzima amekuwa na tabia ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YANGA YATANGAZA KUACHANA NA JUMA KASEJA

Juma Kaseja. YANGA SC imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango Juma Kaseja, iliyemsajili kwa Sh. Milioni 40 Novemba 8, mwaka juzi. Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga SC, Jerry Muro amewaambia Waandishi wa Habari leo katika hoteli ya Zanzibar Ocean View visiwani hapa kwamba, hatua hiyo imefikiwa baada ya mchezaji huyo kuanza kujiengua katika timu. “Tumefikia uamuzi wa kuachana na Kaseja, baada ya yeye...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya kumsimamisha kwa muda usiojulikana, Dec 28 Yanga yatangaza maamuzi magumu kwa Niyonzima …

Baada ya stori za muda mrefu kuhusu kiungo wa kimataifa wa Rwanda anayekipiga katika klabu ya Yanga Haruna Niyonzima, uongozi wa klabu hiyo December 28 umetangaza maamuzi mapya baada ya awali kutangaza kumsimamisha kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu. Yanga wamefikia maamuzi ya kuvunja mkataba na kiungo huyo, baada ya kukaa na kufikiria kwa […]

The post Baada ya kumsimamisha kwa muda usiojulikana, Dec 28 Yanga yatangaza maamuzi magumu kwa Niyonzima … appeared first on...

 

11 years ago

GPL

PAMBANO LA YANGA, MBEYA CITY LAINGIZA MIL 175

Mashabiki wa Mbeya City wakati wa mechi ya timu yao na Yanga SC jana uwanja wa Taifa, Dar. Pambano la Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya wenyeji Yanga na Mbeya City lililofanyika jana (Februari 2 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam limeingiza sh. 175,285,000. Watazamaji 30,411 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo kwa viingilio sh. 5,000, sh. 15,000 na sh. 20,000 kwa VIP A. Yanga ndiyo iliyoibuka na ushindi wa bao 1-0....

 

11 years ago

GPL

Yanga yampiga stop Pluijm kupanda ndege

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm.
Na Sweetbert Lukonge
WAKATI harakati za usajili wa wachezaji kwa timu za ligi kuu zikianza kupamba moto, uongozi wa Yanga umempiga ‘stop’ kocha  wake mkuu raia wa Uholanzi, Hans van Der Pluijm, kurejea kwao.
Imedaiwa kuwa sababu kubwa ya uongozi huo kufanya hivyo ni kumtaka kocha huyo ashiriki kikamilifu katika zoezi zima la usajili. Uongozi umesema kama kocha huyo...

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga stronger than ever, says Niyonzima

Young Africans midfield kingpin Haruna Niyonzima believes his team now has the firepower to mount a sustained assault on the Vodacom Premier League title.

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima aichefua Yanga

KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wake Haruna Niyonzima kuchelewa kuungana na wenzake kwa ajili ya michezo ya ligi huku akishindwa kabisa kutoa sababu zilizomfanya kuchelewa huko.

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima kwaheri Yanga

KLABU ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na mchezaji wake Haruna Niyonzima baada ya kudaiwa kuvunja sheria na taratibu za muajiri wake. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa vyombo vya habari jana, Niyonzima pia atatakiwa kuilipa klabu hiyo dola za Marekani 71,175 kufidia gharama ambazo imezitumia katika kumuongezea mkataba wake mpaka mwaka 2017.

 

10 years ago

GPL

Niyonzima awazimia Yanga simu

Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima. Omary Mdose na Mohammed Mdose
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amegeuka mbogo na kutangaza hadharani kuwa atamchukulia adhabu kali kiungo wake, Haruna Niyonzima, ambaye mpaka sasa hajatua nchini kujiunga na kikosi cha timu hiyo, huku simu yake ikiwa haipatikani. Yapata mwezi sasa tangu kikosi cha Yanga kianze mazoezi yake ya kujiandaa na michuano ya Ligi Kuu Bara na ile ya kimataifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani