Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RPC Msangi awachefua CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Mbeya Mjini kimetoa siku tatu kwa Kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi, kukanusha kauli yake aliyotoa hivi karibuni ya kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MKONO WA IDDI TOKA KWA AFANDE MSANGI RPC WA MBEYA

KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA KAMISHNA MSAIDIZI MWANDAMIZI WA POLISI AHMED ZAHORO MSANGI ANAWATAKIA EID MUBARAK WAANDISHI WOTE WA HABARI WA NDANI NA NJE YA MKOA WA MBEYA. PIA WA VYOMBO MBALIMBALI KAMA VILE REDIO, TELEVISHENI, MAGAZETI, BLOGS NA MITANDAO MINGINE YA KIJAMII.WITO: TUSHEREHEKEE KWA AMANI NA UTULIVU BILA KUWEPO NA HALI/VIASHIRIA VYOVYOTE VYA UVUNJIFU WA AMANIMBEYA BILA UHALIFU INAWEZEKANA, ULINZI NA USALAMA UNAANZA NA MIMI, WEWE NA SISI SOTE!"EID MUBARAK"

 

9 years ago

CHADEMA Blog

CHADEMA WASHINDA PINGAMIZI LILILOWEKWA NA RPC MWANZA KUHUSU MAZISHI YA ALPHONSE MAWAZO

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akizungumza na wananchi waliojitokeza nje ya mahamaka juu hatma ya kesi ya Alphonce Mawazo. Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, Lameck Mlacha, ametupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na RPC wa Mwanza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali dhidi ya kesi iliyofunguliwa jana na familia ya Marehemu Alphonce mawazo kuomba tafsri ya mahakama baada ya jeshi la

 

10 years ago

Vijimambo

Sefue awachefua wabunge

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue
Wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitarajiwa kumkabidhi Spika wa Bunge, Anne Makinda ripoti ya ukaguzi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali (CAG) kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow kufuatia madai ya uchotwaji wa Dola za Marekani milioni 200 (Sh. bilioni 320), jana wabunge walichachamaa wakiituhumu serikali kuingilia uhuru wa Bunge.

Wabunge hao walionyesha wasiwasi juu ya uwezekano wa kutowasilishwa bungeni kwa ripoti za uchunguzi wa kashfa...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yampiga ‘Stop’ Msangi

Serikali imesimamisha maandalizi na pambano la ngumi za kulipwa yanayoandaliwa na promota Jay Msangi kutokana na kasoro mbalimbali zilizotokea katika pambano la kwanza lililofanyika mwaka jana.

 

9 years ago

Mwananchi

RC Msangi awashukia waratibu wa elimu

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kapteni mstaafu, Aseri Msangi amewashukia waratibu wa elimu kata kuwa wameshindwa kufanya kazi zao kwa makini na kusababisha kiwango cha elimu mkoani humo kuzidi kuporomoka mwaka hadi mwaka.

 

11 years ago

TheCitizen

NSC ‘bans’ Msangi from organising bouts

The government has suspended promoter Jay Msangi from organising any international fight following payment saga that “tainted” the country’s image last year.

 

10 years ago

IPPmedia

Mbeya Regional Police Commander, Ahmed Msangi


IPPmedia
Mbeya Regional Police Commander, Ahmed Msangi
IPPmedia
Tragedy hit Idweli village in Rungwe Region yesterday when 3 people were burnt to death as they attempted to siphon petrol from an overturned petrol tanker, a practice repeatedly condemned. Eighteen others sustained high degree burns and are admitted ...

 

11 years ago

Michuzi

SALMA MSANGI: KULIKO UNAVYOMJUA NA ULIVYOWAHI KUMSIKIA [INTERVIEW]

Maisha ni safari ya aina yake. Ndani ya safari moja, zipo nyingine nyingi. Pengine ukweli huo ndio chanzo cha ule usemi kwamba safari moja huanzisha nyingine. Kilicho muhimu ni kwanza kuianza safari yenyewe[moja].
Ninachokiongelea hapo juu kina ukweli zaidi katika maisha ya Salma Msangi ambaye leo kwa wengi ni mtangazaji wa luninga na radio mwenye tabasamu zito, wepesi wa kuelewa mazingira na mwenye kuipenda kazi yake na kuwapenda mashabiki,watazamaji wa vipindi vyake vya kwenye luninga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani