RPC Msangi awachefua CHADEMA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Mbeya Mjini kimetoa siku tatu kwa Kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi, kukanusha kauli yake aliyotoa hivi karibuni ya kuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nozcGsKgzTw/VanuFM0yzWI/AAAAAAAHqSs/b9cgEI1uMIY/s72-c/images%2B%25282%2529.jpg)
MKONO WA IDDI TOKA KWA AFANDE MSANGI RPC WA MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nozcGsKgzTw/VanuFM0yzWI/AAAAAAAHqSs/b9cgEI1uMIY/s400/images%2B%25282%2529.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/--6X1aAjxjag/VleFURTD9VI/AAAAAAAAXSE/_FLBoaOTXEw/s72-c/WANANCHI-NA-MBOWE-620x308.jpg)
CHADEMA WASHINDA PINGAMIZI LILILOWEKWA NA RPC MWANZA KUHUSU MAZISHI YA ALPHONSE MAWAZO
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akizungumza na wananchi waliojitokeza nje ya mahamaka juu hatma ya kesi ya Alphonce Mawazo. Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, Lameck Mlacha, ametupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na RPC wa Mwanza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali dhidi ya kesi iliyofunguliwa jana na familia ya Marehemu Alphonce mawazo kuomba tafsri ya mahakama baada ya jeshi la
10 years ago
Vijimambo15 Nov
Sefue awachefua wabunge
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/ombeni-sefue-feb26-2013(1)(1).jpg)
Wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitarajiwa kumkabidhi Spika wa Bunge, Anne Makinda ripoti ya ukaguzi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali (CAG) kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow kufuatia madai ya uchotwaji wa Dola za Marekani milioni 200 (Sh. bilioni 320), jana wabunge walichachamaa wakiituhumu serikali kuingilia uhuru wa Bunge.
Wabunge hao walionyesha wasiwasi juu ya uwezekano wa kutowasilishwa bungeni kwa ripoti za uchunguzi wa kashfa...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Serikali yampiga ‘Stop’ Msangi
Serikali imesimamisha maandalizi na pambano la ngumi za kulipwa yanayoandaliwa na promota Jay Msangi kutokana na kasoro mbalimbali zilizotokea katika pambano la kwanza lililofanyika mwaka jana.
9 years ago
Mwananchi07 Oct
RC Msangi awashukia waratibu wa elimu
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kapteni mstaafu, Aseri Msangi amewashukia waratibu wa elimu kata kuwa wameshindwa kufanya kazi zao kwa makini na kusababisha kiwango cha elimu mkoani humo kuzidi kuporomoka mwaka hadi mwaka.
11 years ago
TheCitizen01 Feb
NSC ‘bans’ Msangi from organising bouts
The government has suspended promoter Jay Msangi from organising any international fight following payment saga that “tainted†the country’s image last year.
11 years ago
Michuzi11 Feb
10 years ago
IPPmedia20 Feb
Mbeya Regional Police Commander, Ahmed Msangi
IPPmedia
IPPmedia
Tragedy hit Idweli village in Rungwe Region yesterday when 3 people were burnt to death as they attempted to siphon petrol from an overturned petrol tanker, a practice repeatedly condemned. Eighteen others sustained high degree burns and are admitted ...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-q6w_sBpSftg/UwxCsPzA1rI/AAAAAAAFPXs/L7O7iNqDbkQ/s72-c/20131024_110013.jpg)
SALMA MSANGI: KULIKO UNAVYOMJUA NA ULIVYOWAHI KUMSIKIA [INTERVIEW]
![](http://3.bp.blogspot.com/-q6w_sBpSftg/UwxCsPzA1rI/AAAAAAAFPXs/L7O7iNqDbkQ/s1600/20131024_110013.jpg)
Ninachokiongelea hapo juu kina ukweli zaidi katika maisha ya Salma Msangi ambaye leo kwa wengi ni mtangazaji wa luninga na radio mwenye tabasamu zito, wepesi wa kuelewa mazingira na mwenye kuipenda kazi yake na kuwapenda mashabiki,watazamaji wa vipindi vyake vya kwenye luninga...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania