Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sefue awachefua wabunge

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue
Wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitarajiwa kumkabidhi Spika wa Bunge, Anne Makinda ripoti ya ukaguzi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali (CAG) kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow kufuatia madai ya uchotwaji wa Dola za Marekani milioni 200 (Sh. bilioni 320), jana wabunge walichachamaa wakiituhumu serikali kuingilia uhuru wa Bunge.

Wabunge hao walionyesha wasiwasi juu ya uwezekano wa kutowasilishwa bungeni kwa ripoti za uchunguzi wa kashfa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

RPC Msangi awachefua CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Mbeya Mjini kimetoa siku tatu kwa Kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi, kukanusha kauli yake aliyotoa hivi karibuni ya kuwa...

 

11 years ago

GPL

YANGA (WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA (WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014

Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete akivua jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa mabao 3-2 dhidi ya Simba leo. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Balozi Sefue aonya

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, amewataka watumishi wa umma nchini kuzingatia sheria, kanuni na taratibu ili kuleta tija kwenye maeneo yao ya kazi. Sefue aliyasema hayo jijini Dar es...

 

10 years ago

TheCitizen

Sefue: We’re not surprised at decision

The government is yet to receive an official communication from the US warning that it may not approve the second MCC compact over corruption scandals in the county.

 

10 years ago

Vijimambo

Kinana amvaa Sefue.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amemuomba Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, kuwasimamisha kazi watumishi wa serikali wanaihusishwa na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu Tanzania (Bot) hadi hapo tuhuma dhidi yao zitakamalizika.

Kinana alitoa ombi hilo katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Dodoma juzi jioni ikiwa ni sehemu...

 

9 years ago

Mwananchi

Aliyejifanya Balozi Sefue mbaroni

Polisi mkoani Kilimanjaro, imemtia mbaroni mtuhumiwa wa makosa ya kimtandao, ambaye anadaiwa kutumia jina la Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue kutapeli viongozi.

 

9 years ago

Habarileo

Balozi Sefue kukagua Muhimbili

BAADA ya Rais John Magufuli, kuagiza fedha zilizochangwa kwa ajili ya kugharamia hafla ya wabunge zipelekwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kununulia vitanda vya wagonjwa, leo Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue anatarajia kufanya ziara katika hospitali hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Sefue: Madaktari serikalini kudhibitiwa

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ametembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) na kuwasilisha maagizo ya Rais John Magufuli ambayo ni kuwataka madaktari wote nchini, kuhakikisha wanatumia muda wao kazini na si kufanya mambo yao binafsi.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Balozi Sefue atema cheche


NA WAANDISHI WETU, DODOMA
SERIKALI imewataka viongozi waandamizi wanaoendelea kutumia risiti za kuandikwa kwa mikono katika makusanyo ya serikali kuachia ngazi kwa kuwa wameshindwa kudhibiti mapato ya serikali.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipokuwa akifungua mkutano wa faragha wa mwaka wa makatibu wakuu, manaibu na makatibu tawala wa mikoa.
Sefue alisema mfumo ya kukusanya mapato kwa kutumia risiti zilizoandikwa kwa mikono unasababisha uvujaji mkubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani