Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sefue: Madaktari serikalini kudhibitiwa

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ametembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) na kuwasilisha maagizo ya Rais John Magufuli ambayo ni kuwataka madaktari wote nchini, kuhakikisha wanatumia muda wao kazini na si kufanya mambo yao binafsi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA WAKURUGENZI WA RASILIMALIWATU SERIKALINI

 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue ambaye pia ni mgeni rasmi akifungua mkutano mkuu wa mwaka wa Wakurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Serikalini katika ukumbi wa St. Gasper  mjini Dodoma leo.
 Kaimu Mkuu Mkoa wa Dodoma Bi Fatma Salum Ally (katikati) akiwakaribisha wageni waalikwa wa mkutanomkuu wa mwaka wa Wakurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Serikalini mkoani Dodoma, kabla ya mgeni rasmi Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kulia) kufungua mkutano huo katika ukumbi...

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

11 years ago

Habarileo

Maandamano kudhibitiwa

Vita KawawaKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi na Usalama imeishauri Serikali, iandae Muswada wa Sheria utakaoweka utaratibu mahsusi wa watu kuandamana kwa kuzingatia, siku, muda na mahali ili kuondoa usumbufu kwa jamii kutokana na maandamano yasiyo rasmi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uhuru wa mtandao kudhibitiwa

Huku mataifa ya Afrika yakishinikiza uhuru wa kujieleza mataifa ya magharibi yameanza kudhibiti uhuru wa mtandao wa intanet.

 

9 years ago

BBCSwahili

Madrassa kudhibitiwa Uingereza

Shule za Madrassa nchini Uingereza zinakabiliwa na udhibiti na ukaguzi chini ya mipango ya serikali iliochapishwa siku ya Alhamisi.

 

10 years ago

Mwananchi

Bidhaa feki kudhibitiwa

Serikali ipo katika mkakati wa kuandaa sheria ya kuwabana wafanyabiashara wanao agiza na kuingiza bidhaa nchini zisizo na ubora.

 

10 years ago

Habarileo

Ebola kudhibitiwa mipakani

MAOFISA wa idara mbalimbali za Serikali zikiwemo za Uhamiaji, Polisi na Usalama wa Taifa kwa nchi za Tanzania na Kenya wameweka mikakati ya pamoja katika mipaka ya Isebania na Sirari katika kudhibiti wageni ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa ebola.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magari ya serikali kudhibitiwa mafuta

SERIKALI imeanza kutekeleza mradi wa kufunga mfumo wa kielektroniki ili kudhibiti ujazaji wa mafuta katika magari na mitambo ya taasisi za umma. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani