Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madrassa kudhibitiwa Uingereza

Shule za Madrassa nchini Uingereza zinakabiliwa na udhibiti na ukaguzi chini ya mipango ya serikali iliochapishwa siku ya Alhamisi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

Madrassa to have uniform curriculum


Madrassa to have uniform curriculum
Daily News
ALL Quran schools (Madrassa) in Zanzibar may soon have a uniform curriculum should the proposed nationwide training seminars for the schools teachers be successful. Zanzibar Minister for Justice and Legal Affairs, Mr Abubakar Khamis Bakar who is ...

 

11 years ago

BBC

'Radical' Kenya madrassa closed

Kenya's authorities close a madrassa east of the capital for teaching radical Islamic ideologies and warns other religious schools may also be shut.

 

11 years ago

Michuzi

WALIMU WA MADRASSA VIJIJINI MKOA WA PWANI WATEMBELEWA NA KALAMU EDUCATION FOUNDATION

 Ustaadh Hussein Ahmad wa Madrassa Mukarramah (kushoto) akipokea Sehemu ya Zawadi za Chakula Kutoka Taasisi ya Kalamu Education Foundation wanaotembelea Sehemu za Mkoa wa Pwani kufahamu Walimu wa Madrassa wanavyoendesha shughuli zao katika Kipindi hiki Cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Pamoja nae ni Ndugu Ibrahim Biswalo Meneja Miradi wa Taasisi hiyo na Ndugu Mashaka Daudi Ofisa Usambazaji. Walimu wa Madrassa kutoka katoka Vijiji Mbali Mbali vya Wilaya ya Kisarawe wakiwa na baadhi ya Maofisi wa...

 

11 years ago

Habarileo

Maandamano kudhibitiwa

Vita KawawaKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi na Usalama imeishauri Serikali, iandae Muswada wa Sheria utakaoweka utaratibu mahsusi wa watu kuandamana kwa kuzingatia, siku, muda na mahali ili kuondoa usumbufu kwa jamii kutokana na maandamano yasiyo rasmi.

 

11 years ago

Habarileo

Ebola kudhibitiwa mipakani

MAOFISA wa idara mbalimbali za Serikali zikiwemo za Uhamiaji, Polisi na Usalama wa Taifa kwa nchi za Tanzania na Kenya wameweka mikakati ya pamoja katika mipaka ya Isebania na Sirari katika kudhibiti wageni ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uhuru wa mtandao kudhibitiwa

Huku mataifa ya Afrika yakishinikiza uhuru wa kujieleza mataifa ya magharibi yameanza kudhibiti uhuru wa mtandao wa intanet.

 

11 years ago

Mwananchi

Bidhaa feki kudhibitiwa

Serikali ipo katika mkakati wa kuandaa sheria ya kuwabana wafanyabiashara wanao agiza na kuingiza bidhaa nchini zisizo na ubora.

 

11 years ago

BBCSwahili

Idadi ya makanisa kudhibitiwa Burundi

Bunge la waakilishi nchini Burundi,limepitisha mswada unaodhamiria kupunguza ongezeko la makanisa nchini humo.

 

9 years ago

Habarileo

Mwambene ataka mitandao kudhibitiwa

SERIKALI imeziomba nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), kuhakikisha zinakuwa na mfumo wa kuangalia matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii ili isiendelee kusababisha madhara katika jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani