Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magari ya serikali kudhibitiwa mafuta

SERIKALI imeanza kutekeleza mradi wa kufunga mfumo wa kielektroniki ili kudhibiti ujazaji wa mafuta katika magari na mitambo ya taasisi za umma. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Serikali kufunga mfumo wa kielektroniki kujaza mafuta magari na mitambo ya taasisi za Umma

Mkurugenzi wa Uendeshaji toka wakala wa huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) bw. Naftal Singwejo akieleza kwa waandishi wa habari kuhusu mfumo mpya wa kielektroniki utakaotumika katika kutoa huduma ya mafuta kwa magari ya Serikali na mitambo ili kuongeza tija katika utoaji wa huduma hiyo kwa Taasisi ,Wakala na Wizara zote .kushoto ni Mkurugenzi Himili Biashara Bw. Malik Aram.
Na Frank Mvungi-Maelezo
Serikali yaanza kutekeleza mradi wa kufunga mfumo wa kielektroniki kujaza...

 

10 years ago

GPL

WIZI WA MAFUTA KATIKA FOLENI ZA MAGARI DAR

Vijana wakichukua mafuta toka kwenye lori. …Wakimimina mafuta kwenye madumu.
Madumu ya  mafuta yakiwa tayari…

 

9 years ago

Michuzi

MSD kuweka nembo za Serikali kwenye dawa zake, wizi wa dawa kudhibitiwa

Serikali imeamua kuwa itahakikisha dawa zote katika Mahospitali na Vituo vya afya zinapatikana wakati wote. Na kama ambavyo ahadi hiyo imekuwa ikinadiwa na Rais Dkt. Magufuli katika kampeni zake, sasa ni hatua ya utekelezaji wa ahadi hii kwa wananchi umefikia wakati.

Katika kulitekeleza hilo, Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD),Cosmas Mwaifwani aliagizwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Donan Mmbando kwa niaba ya Rais, kuhakikisha kuwa dawa zote za Serikali zinakuwa na utambulisho...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kununua mafuta kielektroniki

SERIKALI itaanzisha mfumo mpya wa kielektroniki wa kununua, kutunza na kuuza mafuta yanayotumika katika magari yake.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yasaka wahujumu mafuta

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles MwijageSERIKALI imeanza msako wa mtu au watu waliohusika na hujuma ya mafuta, kwa kutouzia wateja wa reja reja, pamoja na wanaosambaza ujumbe mfupi wa maandishi, kutisha kuwa mafuta hayatapatikana hadi leo.

 

10 years ago

Habarileo

Magari 5 ya Serikali yayeyuka TanTrade

MAKUCHA ya Bunge, kupitia Kamati yake ya Hesabu za Serikali (PAC) imeendelea kufichua maovu katika idara za Serikali na Mashirika ya Umma, safari hii ikiwa zamu ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara nchini (TanTrade) iliyopewa saa 48 kuwaanika wahusika wa magari matano na pikipiki nane zilizoyeyuka katika mazingira ya kutatanisha.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali kushusha ushuru wa mafuta leo?

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.SERIKALI leo inatazamiwa kujibu hoja mbalimbali zilizoibuka wakati wa mjadala wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAANZA RASMI BIASHARA YA MAFUTA

Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani( wa tatu kushoto), Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said( kushoto), Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu( pili kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima( katikati), Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Mendeleo ya Petroli Tanzania ( TPDC) Dkt. James Mataragio (wa tatu kulia) na Viongozi wa Waandamizi wa Wizara...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali iache kununua magari ya kifahari’

SERIKALI imeshauriwa kuacha kununua magari ya kifahari, badala yake fedha hizo zielekezwe katika kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi. Akiuliza swali bungeni jana, Mbunge wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani