Serikali kufunga mfumo wa kielektroniki kujaza mafuta magari na mitambo ya taasisi za Umma
![](http://2.bp.blogspot.com/-05bI3Oxo5KM/U2stPoSZJeI/AAAAAAAFgNE/no6zEDapDuE/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Mkurugenzi wa Uendeshaji toka wakala wa huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) bw. Naftal Singwejo akieleza kwa waandishi wa habari kuhusu mfumo mpya wa kielektroniki utakaotumika katika kutoa huduma ya mafuta kwa magari ya Serikali na mitambo ili kuongeza tija katika utoaji wa huduma hiyo kwa Taasisi ,Wakala na Wizara zote .kushoto ni Mkurugenzi Himili Biashara Bw. Malik Aram.
Na Frank Mvungi-Maelezo
Serikali yaanza kutekeleza mradi wa kufunga mfumo wa kielektroniki kujaza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 Jun
Serikali kununua mafuta kielektroniki
SERIKALI itaanzisha mfumo mpya wa kielektroniki wa kununua, kutunza na kuuza mafuta yanayotumika katika magari yake.
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Mfumo huu pia utumike katika taasisi za umma
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-77bxu2GXe3M/XuY7QpwTL7I/AAAAAAALty8/baT_F4dIAYcmUEJvC4ziVLgBhEJNj9reACLcBGAsYHQ/s72-c/e8bc8640-2d9b-4ea5-a823-5c140f5d3327.jpg)
SERIKALI YAZIELEKEZA TAASISI ZA UMMA KUADHIMISHA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA MWAKA 2020 KWA KUDUMISHA USHIRIKIANO NA WADAU
![](https://1.bp.blogspot.com/-77bxu2GXe3M/XuY7QpwTL7I/AAAAAAALty8/baT_F4dIAYcmUEJvC4ziVLgBhEJNj9reACLcBGAsYHQ/s640/e8bc8640-2d9b-4ea5-a823-5c140f5d3327.jpg)
***********************************
Na: James Mwanamyoto – Dodoma
Tarehe 14 Juni, 2020
Taasisi za umma nchini zimeelekezwa kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma...
10 years ago
Habarileo12 Apr
Tanesco kufunga Luku taasisi za serikali
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene amesema kuwa Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) lina mpango wa kufunga mita za LUKU katika ofisi za taasisi zote za serikali kama moja ya mikakati yake katika ukusanyaji wa mapato.
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Magari ya serikali kudhibitiwa mafuta
SERIKALI imeanza kutekeleza mradi wa kufunga mfumo wa kielektroniki ili kudhibiti ujazaji wa mafuta katika magari na mitambo ya taasisi za umma. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Kadi za CBA kutumika kujaza mafuta
BENKI ya Biashara ya Afrika (CBA) imetoa kadi maalumu za kujaza mafuta malori katika nchi mbalimbali barani Afrika. Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Mkuu wa Benki kwa...
10 years ago
Michuzi24 Jun
Muhimbili yazichachafya taasisi za Serikali 84 Wiki ya Utumishi wa Umma
Katika tuzo hii MNH...