SERIKALI YAZIELEKEZA TAASISI ZA UMMA KUADHIMISHA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA MWAKA 2020 KWA KUDUMISHA USHIRIKIANO NA WADAU
![](https://1.bp.blogspot.com/-77bxu2GXe3M/XuY7QpwTL7I/AAAAAAALty8/baT_F4dIAYcmUEJvC4ziVLgBhEJNj9reACLcBGAsYHQ/s72-c/e8bc8640-2d9b-4ea5-a823-5c140f5d3327.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (Mb), Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akitoa maelekezo ya namna ya kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma mwaka 2020 mapema leo, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb).
***********************************
Na: James Mwanamyoto – Dodoma
Tarehe 14 Juni, 2020
Taasisi za umma nchini zimeelekezwa kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi24 Jun
Muhimbili yazichachafya taasisi za Serikali 84 Wiki ya Utumishi wa Umma
Katika tuzo hii MNH...
11 years ago
MichuziOFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA YAKUTANISHA WADAU KUTOA MAONI KUHUSU MIKATABA YA UTENDAJI KAZI KATIKA TAASISI ZA UMMA
11 years ago
Michuzi12 Jun
Zaidi ya Taasisi 30 za Serikali kushiriki katika maonesho ya wiki moja ya utumishi wa Umma
![](https://3.bp.blogspot.com/-38p8CGmQ05U/U5h8LFEw_dI/AAAAAAACz4Y/h65ve9m7L2E/s1600/N.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-YugxqwLOOtw/U5h8NHPXI_I/AAAAAAACz4g/OgmErnkwWlI/s1600/Pix-02.jpg)
11 years ago
Michuzi17 Jun
PSPF KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA JUU YA MAFAO WAYATOWAYO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZIMMOJA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/2R5q0E1WXJ0/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LuR_yz-NAoQ/U6RAwRz5n6I/AAAAAAAFr-o/_q19glYltwQ/s72-c/No.+1.jpg)
Wananchi wahimizwa kutembelea Banda la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
Wananchi wamehimizwa kutembelea banda la Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Wito huo umetolewa na Afisa wa Maadili Mwandamizi Bw. Bazilio Mwanakatwe wakati akizungumza na Waandishi wa Habari waliotembelea banda la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma katika maonesho hayo.
Bw. Mwanakatwe aliendelea kubainisha kuwa...
5 years ago
MichuziKamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma kufanya mkutano wake wa kisheria mwaka wa fedha 2019/2020 jijini dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bapb0hcR0Yg/Xnixt20uv8I/AAAAAAALkyY/ghAkPEwG_-8HMXhaqiJjnfV5N_Cj3l84ACLcBGAsYHQ/s1600/PRESS%2BRELEASE%2BMKUTANO%2BWA%2BTUME%2BNAMBA%2B%2B3%2B-%2B2019-20.jpg)