Serikali kushusha ushuru wa mafuta leo?
SERIKALI leo inatazamiwa kujibu hoja mbalimbali zilizoibuka wakati wa mjadala wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 May
Serikali kushusha neema shule za Kata
SERIKALI imesema imejipanga kuongeza uwekezaji katika Shule za Sekondari za Kata nchini ili kuongeza kiwango cha ufaulu ambapo pia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa katika sekta ya elimu umesaidia kuinua kiwango cha ufaulu kidato cha nne ambacho kilitetereka kwa miaka mitatu mfululizo.
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Serikali kushusha bei ya umeme Oktoba
10 years ago
GPLSERIKALI YATAKIWA KUSHUSHA BEI YA NAULI YA MABASI
10 years ago
Habarileo03 Nov
Askofu aipa mbinu Serikali kushusha ada
SERIKALI imeombwa kurudisha mfumo wa zamani wa kuzipatia shule binafsi ruzuku, lengo ni kuzifanya shule hizo kupunguza ada na hivyo kusaidia kuondoa tabaka la kielimu miongoni mwa Watanzania.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-63PlB2Hj33Y/XszhErF9u-I/AAAAAAALrkg/hWvgjO8YFEQweYAut_ET95qC-vsOqpwNACLcBGAsYHQ/s72-c/4%2B%25281%2529.jpg)
SERIKALI YAWATAKA MAAFISA MADINI KUTHIBITISHA USHURU MIGODINI
Tamko hilo lilitolewa Mei 24, 2020 na Waziri wa Madini Doto Biteko wakati akizungumza na Wachimbaji Wadogo wa Madini ya Dhahabu eneo la Lusu Wilayani Nzega Mkoa wa Tabora alipotembelea eneo hilo kuangalia shughuli za uchimbaji madini.
Aidha, tamko hilo linafuatia kuwepo kwa malalamiko toka kwa wachimbaji wanaofanyakazi...
10 years ago
MichuziAnsaf, RCT waishauri Serikali juu ya ushuru wa mchele
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano wa kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili wakulima wa mchele, Mkurugenzi Mtendaji wa Ansaf,...
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Serikali imeona mbali kuongeza ushuru sukari inayoagizwa nje
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/VWClzmosshE/default.jpg)
TFF YAIOMBA SERIKALI KUONDOA USHURU KWA VIFAA VYA MICHEZO.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wi0UxkVfhqE/Xufkt3ZLn7I/AAAAAAALt-E/-n5K7AVHqS0-7eppGtYWC0dSBYRRnsoFgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
KAMATI YA BAJETI YAELEZA ILIVYOKUWA IKIWASILISHA MAOMBI KWA SERIKALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MITANO KUOMBA KUONDOLEWA USHURU KWENYE CHUPA ZA MVINYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-wi0UxkVfhqE/Xufkt3ZLn7I/AAAAAAALt-E/-n5K7AVHqS0-7eppGtYWC0dSBYRRnsoFgCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kupitia kwa Mwenyekiti wa kamati hiyo Mashimba Ndaki amesema kwa miaka mitano sasa kamati hiyo imekuwa ikiwasilisha maombi serikalini ya kuondoa ushuru wa bidhaa kwa chupa zinazotumika kwa ajili ya kufungashia mvinyo unazalishwa nchini.
Akizungumza leo Juni 15,2020 Bungeni Mjini Dodoma Ndaki amesema kwa sasa chupa zinazoingizwa nchini zinatozwa ushuru wa bidhaa kwa asilimia 25, pamoja na tozo nyingine za serikali na hivyo...