Serikali imeona mbali kuongeza ushuru sukari inayoagizwa nje
Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16, iliyosomwa bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya inaainisha mpango wa makusudi wa Serikali wa kuizuia sukari kutoka nje ya nchi kuingia katika soko la ndani kirahisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziRC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...
11 years ago
Habarileo06 Jul
Pamba yawekwa maji, sukari kuongeza uzito
WAKULIMA wa zao la pamba na wanunuzi wa zao hilo, wamekuwa ni chanzo cha kudhoofisha zao hilo, hivyo kushindwa kuingia katika ushindani wa soko.
10 years ago
MichuziMRADI WA UJENZI WA NYUMBA 10,000 ZA MAKAZI YA WATUMISHI WA SERIKALI NA WA UMMA WAANZA KATIKA MAENEO MBALI MBALI NCHINI
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Tani 290,000 za sukari huagizwa nje
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Sukari kutoka nje inavyoua viwanda vya nchini
>>TPC wataka itozwe kodi ya asilimia 100
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
TANZANIA ni miongoni mwa nchi zinazoendelea Afrika kupitia sekta mbalimbali za kiuchumi vikiwemo viwanda.
Licha ya umuhimu wa viwanda hivyo bado kumekuwa hakuna sera madhubuti zinazolenga kuboresha na kuendeleza
viwanda vya ndani.
Sekta hiyo bado inakabiliwa na changamoto nyingi kiasi cha kuchelewesha malengo yaliokusudiwa ya kukuza uchumi na maisha bora kwa wananchi wake.
Sera zilizopo zinaruhusu kuuzwa kwa bidhaa mbalimbali...
5 years ago
MichuziMBUNGE RITA KABATI AOMBA USHURU WA MAZIWA KUTOKA NJE YA NCHI UONGEZWE ILI KULINDA VIWANDA VYA NDANI
Aidha, Kabati ameipongeza Kampuni ya Kuzalisha Maziwa ya ASAS ya mjini Iringa kwa kutumia fursa ya kuongeza ushuru wa bidhaa kwa kuzalisha maziwa mengi.
Kabati ametoa ombi na pongezi hizo Bungeni jiini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi iliyowasilishwa na Waziri wa Luhaga Mpina.
Mbunge huyo wa Viti Maalum alisema...
10 years ago
Habarileo22 Jun
Serikali kushusha ushuru wa mafuta leo?
SERIKALI leo inatazamiwa kujibu hoja mbalimbali zilizoibuka wakati wa mjadala wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16.
5 years ago
MichuziSERIKALI YAWATAKA MAAFISA MADINI KUTHIBITISHA USHURU MIGODINI
Tamko hilo lilitolewa Mei 24, 2020 na Waziri wa Madini Doto Biteko wakati akizungumza na Wachimbaji Wadogo wa Madini ya Dhahabu eneo la Lusu Wilayani Nzega Mkoa wa Tabora alipotembelea eneo hilo kuangalia shughuli za uchimbaji madini.
Aidha, tamko hilo linafuatia kuwepo kwa malalamiko toka kwa wachimbaji wanaofanyakazi...
10 years ago
MichuziAnsaf, RCT waishauri Serikali juu ya ushuru wa mchele
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano wa kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili wakulima wa mchele, Mkurugenzi Mtendaji wa Ansaf,...