Tani 290,000 za sukari huagizwa nje
Serikali hulazimika kuagiza tani za sukari 290,000 kila mwaka ili kufidia pengo la uzalishaji wa sukari nchini, imeelezwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s72-c/Sukari%2B1.jpg)
RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje
![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s640/Sukari%2B1.jpg)
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...
5 years ago
MichuziDC CHONJO ATHIBITISHA KUINGIA KWA TANI 90 ZA SUKARI MOROGORO.
Hayo ameyazungumza Mei 11, 2020 Ofisini kwake katika kikao cha waandishi wa habari juu ya suala la kupanda kwa bei ya Sukari katika Wilaya ya Morogoro.
Akizungumza na Waandishi wa habari, DC Chonjo, amesema suala la Sukari limekuwa changamoto sana na sio Wilaya ya Morogoro hata Mkoa Mzima wa Morogoro sukari imekuwa tatizo.
Chonjo, amesema...
10 years ago
Habarileo06 Feb
Tani 200,000 za silaha zateketezwa
TANI 200,000 za silaha haramu zilizokuwa zimezagaa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) zimeteketezwa.
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
NFRA yaombwa kununu tani 55,000
MKOA wa Tanga umeiomba Wakala wa Taifa wa Chakula (NFRA), kununua zaidi ya tani 55,000 za mahindi baada ya kukosa soko. Kauli hilo ilitolewa na Katibu Tawala wa mkoa huo, Salum...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Kigoma yazalisha tani 5,000 za tumbaku
MKOA wa Kigoma unazalisha tumbaku zaidi ya tani 5,000 kwa mwaka. Naibu waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Adam Malima alitoa kauli hiyo bungeni mjini hapa jana akijibu swali la...
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Apr
Tani 10,000 za chakula kutolewa kwa wahitaji
NA RACHEL KYALA
SERIKALI itagawa tani 10,000 za chakula kuwasaidia watu ambao wanakabiliwa na njaa kutokana na uhaba wa chakula katika baadhi ya maeneo nchini.
Hatua hiyo imetokana na zaidi ya watu 400,000 kukabiliwa na njaa wakiwemo 42, 414 ambao hawana uwezo kabisa wa kununua chakula na wametengewa kupatiwa tani 1,000 bure.
Hata hivyo, tani zingine 9,000 zinatarajiwa kuuza kwa sh. 50 kwa kilo kwa watu 381,722, ambao kwa kiasi wana uwezo wa kumudu kununua chakula kwa bei hiyo.
Mkurugenzi...
10 years ago
Mwananchi09 Sep
NFRA kuuza tani 75,000 mahindi kuepusha kuharibika
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Sukari kutoka nje inavyoua viwanda vya nchini
>>TPC wataka itozwe kodi ya asilimia 100
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
TANZANIA ni miongoni mwa nchi zinazoendelea Afrika kupitia sekta mbalimbali za kiuchumi vikiwemo viwanda.
Licha ya umuhimu wa viwanda hivyo bado kumekuwa hakuna sera madhubuti zinazolenga kuboresha na kuendeleza
viwanda vya ndani.
Sekta hiyo bado inakabiliwa na changamoto nyingi kiasi cha kuchelewesha malengo yaliokusudiwa ya kukuza uchumi na maisha bora kwa wananchi wake.
Sera zilizopo zinaruhusu kuuzwa kwa bidhaa mbalimbali...
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Licha ya kupata mwekezaji; Usafirishaji mizigo waporomoka kutoka tani 1.4 milioni hadi 200,000