Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tani 290,000 za sukari huagizwa nje

Serikali hulazimika kuagiza tani za sukari 290,000 kila mwaka ili kufidia pengo la uzalishaji wa sukari nchini, imeelezwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje

Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla akiwa kwenye ukaguzi wa kiwanda cha sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani humo, kama sehemu ya kuangalia hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. Picha na Mpigapicha wetu.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro

MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...

 

5 years ago

Michuzi

DC CHONJO ATHIBITISHA KUINGIA KWA TANI 90 ZA SUKARI MOROGORO.


MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Regina Chonjo, amethibitisha kuingia kwa Sukari tani 90 kufuatia kupanda kwa bei ya sukari katika Wialaya ya Morogoro.

Hayo ameyazungumza Mei 11, 2020 Ofisini kwake katika kikao cha waandishi wa habari juu ya suala la kupanda kwa bei ya Sukari katika Wilaya ya Morogoro.

Akizungumza na Waandishi wa habari, DC Chonjo, amesema suala la Sukari limekuwa changamoto sana na sio Wilaya ya Morogoro hata Mkoa Mzima wa Morogoro sukari imekuwa tatizo.

Chonjo, amesema...

 

10 years ago

Habarileo

Tani 200,000 za silaha zateketezwa

 Katibu Mkuu wa EAC, Richard SeziberaTANI 200,000 za silaha haramu zilizokuwa zimezagaa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) zimeteketezwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

NFRA yaombwa kununu tani 55,000

MKOA wa Tanga umeiomba Wakala wa Taifa wa Chakula (NFRA), kununua zaidi ya tani 55,000 za mahindi baada ya kukosa soko. Kauli hilo ilitolewa na Katibu Tawala wa mkoa huo, Salum...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigoma yazalisha tani 5,000 za tumbaku

MKOA wa Kigoma unazalisha tumbaku zaidi ya tani 5,000 kwa mwaka. Naibu waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Adam Malima alitoa kauli hiyo bungeni mjini hapa jana akijibu swali la...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Tani 10,000 za chakula kutolewa kwa wahitaji


NA RACHEL KYALA
SERIKALI itagawa tani 10,000 za chakula kuwasaidia watu ambao wanakabiliwa na njaa kutokana na uhaba wa chakula katika baadhi ya maeneo nchini.
Hatua hiyo imetokana na zaidi ya watu 400,000 kukabiliwa na njaa wakiwemo 42, 414 ambao hawana uwezo kabisa wa kununua chakula na wametengewa kupatiwa tani 1,000 bure.
Hata hivyo, tani zingine 9,000 zinatarajiwa kuuza kwa sh. 50 kwa kilo kwa watu 381,722, ambao kwa kiasi wana uwezo wa kumudu kununua chakula kwa bei hiyo.
Mkurugenzi...

 

10 years ago

Mwananchi

NFRA kuuza tani 75,000 mahindi kuepusha kuharibika

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA), Charles Walwa amesema wakala huyo atauza tani 75,000 za mahindi zilizonunuliwa mwaka jana na kununua tani nyingine 200,000 katika msimu huu.

 

9 years ago

Mtanzania

Sukari kutoka nje inavyoua viwanda vya nchini

MTZ UCHUMI HII SAFI.inddMTZ UCHUMI HII SAFI.indd>>TPC wataka itozwe kodi ya asilimia 100

NA UPENDO MOSHA, MOSHI

TANZANIA ni miongoni mwa nchi zinazoendelea Afrika kupitia sekta mbalimbali za kiuchumi vikiwemo viwanda.
Licha ya umuhimu wa viwanda hivyo bado kumekuwa hakuna sera madhubuti zinazolenga kuboresha na kuendeleza
viwanda vya ndani.

Sekta hiyo bado inakabiliwa na changamoto nyingi kiasi cha kuchelewesha malengo yaliokusudiwa ya kukuza uchumi na maisha bora kwa wananchi wake.

Sera zilizopo zinaruhusu kuuzwa kwa bidhaa mbalimbali...

 

10 years ago

Mwananchi

Licha ya kupata mwekezaji; Usafirishaji mizigo waporomoka kutoka tani 1.4 milioni hadi 200,000

Baada ya Sekta Binafsi kuendesha sekta ya reli pasi na mafanikio ya kuridhisha, mwaka 2011, Serikali iliamua kutengua rasmi mkataba wake na Kampuni ya Reli ya India ya Rites.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani