NFRA kuuza tani 75,000 mahindi kuepusha kuharibika
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA), Charles Walwa amesema wakala huyo atauza tani 75,000 za mahindi zilizonunuliwa mwaka jana na kununua tani nyingine 200,000 katika msimu huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
NFRA yaombwa kununu tani 55,000
MKOA wa Tanga umeiomba Wakala wa Taifa wa Chakula (NFRA), kununua zaidi ya tani 55,000 za mahindi baada ya kukosa soko. Kauli hilo ilitolewa na Katibu Tawala wa mkoa huo, Salum...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
NFRA kununua mahindi Gairo
11 years ago
Habarileo02 Aug
NFRA yajipanga kununua mahindi Sumbawanga
WAKALA wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa, wamejipanga kununua mahindi kwa wakulima katika msimu huu wa ununuzi kwa kuzingatia viwango vya ubora.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5gkkJXbt_Ns/VBrFh2C9d4I/AAAAAAAGkOg/pdGH9nDkE6w/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
WAZIRI CHIZA ATEMBELEA SOKO LA MAHINDI NFRA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-5gkkJXbt_Ns/VBrFh2C9d4I/AAAAAAAGkOg/pdGH9nDkE6w/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_8DjDJ8S8xE/VBrFhwt3ttI/AAAAAAAGkOk/WvmclUQgaCA/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rjfzYTdEsHw/VBrFjYlZZfI/AAAAAAAGkOw/3LmtvHtCysg/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Tani 7,400 za mahindi zakosa soko
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Wafanyabiashara ‘stop’ kuuza mahindi
11 years ago
Uhuru Newspaper17 Jul
Tanzania kuuza mahindi Kenya
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SERIKALI imeruhusu wafanyabishara nchini kuuza mahindi zaidi ya tani 200,000 nchini Kenya., ili kukabiliana na upungufu wa chakula uliopo nchini humo kwa sasa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Sophia Kaduma, aliyasema hayo mjini hapa jana, wakati akitia saini makubaliano hayo na Katibu Mkuu wa Kilimo wa Kenya, Sicly Kariuki.
Alisema uamuzi huo unatokana na ombi la Serikali ya Kenya, kuuziwa mahindi meupe kutokana na upungufu mkubwa wa chakula...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Watanzania waruhusiwa kuuza mahindi nje
SERIKALI imewaruhusu Watanzania kununua mahindi nje ya nchi bila vikwazo vyovyote kutokana na kuwepo na ziada ya chakula nchini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Kilimo, Chakula na...