NFRA yajipanga kununua mahindi Sumbawanga
WAKALA wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa, wamejipanga kununua mahindi kwa wakulima katika msimu huu wa ununuzi kwa kuzingatia viwango vya ubora.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Nov
NFRA kununua mahindi Gairo
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5gkkJXbt_Ns/VBrFh2C9d4I/AAAAAAAGkOg/pdGH9nDkE6w/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
WAZIRI CHIZA ATEMBELEA SOKO LA MAHINDI NFRA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-5gkkJXbt_Ns/VBrFh2C9d4I/AAAAAAAGkOg/pdGH9nDkE6w/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_8DjDJ8S8xE/VBrFhwt3ttI/AAAAAAAGkOk/WvmclUQgaCA/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rjfzYTdEsHw/VBrFjYlZZfI/AAAAAAAGkOw/3LmtvHtCysg/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
10 years ago
Mwananchi09 Sep
NFRA kuuza tani 75,000 mahindi kuepusha kuharibika
10 years ago
Habarileo21 Nov
Serikali yakopa bil 50/- kununua mahindi
SERIKALI imekopa Sh bilioni 50 katika benki ya CRDB kwa ajili ya kununua mahindi yaliyojazana kwa wakulima nchini, kutokana na kupata mavuno mengi mwaka huu.
11 years ago
Habarileo10 Aug
Indonesia, Kenya kununua mahindi, mpunga nchini
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amesema kilio cha wakulima kuhusu ukosefu wa masoko ya mazao kitakuwa ni cha kihistoria muda mfupi ujao baada ya nchi ya Kenya na Indonesia kueleza kusudio la kununua mazao ya chakula yanayolimwa kwa wingi katika mikoa iliyopo Kanda ya Mashariki.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/CcesS-L1jlA/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi
10 years ago
Habarileo19 Feb
Halmashauri zadai NFRA bilioni 1.3/-
WAKALA wa Hifadhi ya Taifa wa Chakula (NFRA) Kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa, inadaiwa na halmashauri mkoani humo zaidi ya Sh bilioni 1.3 zikiwa ni fedha za ushuru kwa mahindi waliyoiuzia wakala huyo kwa msimu huu wa kilimo.
11 years ago
Habarileo29 Apr
NFRA yaongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka
WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) wameongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kutoka tani 241,000 za sasa hadi tani 400,000 mwaka 2016.