Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Indonesia, Kenya kununua mahindi, mpunga nchini

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel BenderaMKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amesema kilio cha wakulima kuhusu ukosefu wa masoko ya mazao kitakuwa ni cha kihistoria muda mfupi ujao baada ya nchi ya Kenya na Indonesia kueleza kusudio la kununua mazao ya chakula yanayolimwa kwa wingi katika mikoa iliyopo Kanda ya Mashariki.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi

Serikali ipo katika hatua za mwisho za makubaliano ya kuuza tani 50,000 za awali za mahindi nchini Kenya.

 

9 years ago

Habarileo

Kenya kununua gesi nchini

RAIS Uhuru Kenyatta amesema nchi yake itakuwa mteja wa gesi ya Tanzania mara itakapoanza kuuzwa nje baada ya uzinduzi unaotarajiwa kufanyika Mtwara Jumamosi wiki hii. Aidha, amesema Kenya ina deni kubwa kwa Rais Jakaya Kikwete kutokana na urafiki wao na uhusiano mkubwa kati ya nchi hizo mbili.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kampuni ya Mkulima kununua mpunga Songea

WAKATI Serikali inahangaika kutafuta masoko ya kuuzia mazao ya wakulima, kampuni ya kizalendo ya Mkulima Malt Purpose yenye makao yake makuu jijini Mbeya imejitosa kuanza kununua mpunga. Kampuni hiyo ambayo...

 

10 years ago

Mwananchi

NFRA kununua mahindi Gairo

Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ina mpango wa kununua tani 2,500 za mahindi katika Wilaya ya Gairo.

 

11 years ago

Habarileo

NFRA yajipanga kununua mahindi Sumbawanga

WAKALA wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa, wamejipanga kununua mahindi kwa wakulima katika msimu huu wa ununuzi kwa kuzingatia viwango vya ubora.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yakopa bil 50/- kununua mahindi

SERIKALI imekopa Sh bilioni 50 katika benki ya CRDB kwa ajili ya kununua mahindi yaliyojazana kwa wakulima nchini, kutokana na kupata mavuno mengi mwaka huu.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Tanzania kuuza mahindi Kenya


NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SERIKALI imeruhusu  wafanyabishara  nchini  kuuza mahindi zaidi ya tani 200,000 nchini Kenya.,  ili kukabiliana na upungufu wa chakula uliopo nchini humo kwa sasa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Sophia Kaduma, aliyasema hayo mjini hapa jana, wakati akitia saini makubaliano hayo na Katibu Mkuu wa Kilimo wa Kenya, Sicly Kariuki.
Alisema uamuzi huo unatokana na ombi la Serikali ya Kenya, kuuziwa mahindi meupe kutokana na upungufu mkubwa wa chakula...

 

11 years ago

Habarileo

Saini zatiwa mahindi meupe kuuzwa Kenya

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Sophia KadumaSERIKALI imetoa fursa kwa wafanyabiashara wa hapa nchini kuuza mahindi meupe zaidi ya tani 200,000 nchini Kenya ili kukabiliana na upungufu wa chakula uliopo nchini humo kwa sasa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Baba wa Garil aliuawa kwa bomu nchini Indonesia

Baba wa Garil aliuawa kwa bomu nchini Indonesia, shambulio hilo la kigaidi lilitokea wakati Garil akiwa mwanafunzi wa shule ya msingi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani