Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya kununua gesi nchini

RAIS Uhuru Kenyatta amesema nchi yake itakuwa mteja wa gesi ya Tanzania mara itakapoanza kuuzwa nje baada ya uzinduzi unaotarajiwa kufanyika Mtwara Jumamosi wiki hii. Aidha, amesema Kenya ina deni kubwa kwa Rais Jakaya Kikwete kutokana na urafiki wao na uhusiano mkubwa kati ya nchi hizo mbili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Indonesia, Kenya kununua mahindi, mpunga nchini

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel BenderaMKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amesema kilio cha wakulima kuhusu ukosefu wa masoko ya mazao kitakuwa ni cha kihistoria muda mfupi ujao baada ya nchi ya Kenya na Indonesia kueleza kusudio la kununua mazao ya chakula yanayolimwa kwa wingi katika mikoa iliyopo Kanda ya Mashariki.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

‘Ruksa kununua hisa mafuta na gesi’


NA RACHEL KYALA
SERIKALI kwa mara ya kwanza imetoa fursa kwa wananchi ya kuwekeza kwa kununua hisa katika sekta ya mafuta na gesi.
Hatua hiyo imekuja kufuatia serikali kutoa kibali kwa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala, kuwa ya kwanza kuuza hisa Afrika Mashariki na kumilikiwa na wazawa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Swala, David Ridge, akizungumza jijini Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa uuzaji wa hisa, aliwataka watanzania kuchangamkia fursa hiyo ili kuinua uchumi wao na wa taifa kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Rusty Hutson: Mwanamume aliyekuwa milionea kwa kununua visima 60,000 vya mafuta na gesi

Rusty Hutson Jr ni mkuu wa shirika la kawi la Marekani linalokuwa kwa kasi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wahimizwa kununua bidhaa nchini

TATIZO la ajira nchini litaisha endapo Watanzania watabadilika na kupenda kununua bidhaa zinazozalishwa na viwanda  vilivyopo nchini. Hayo yalielezwa juzi na Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda  cha A to Z, Anuj...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kununua bomba za maji nchini

Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe amesema Serikali itaanza kununua mabomba ya maji yanayozalishwa na viwanda mbalimbali nchini badala ya kuagiza kutoka nje.

 

9 years ago

Mwananchi

Tanesco kununua nguzo Afrika Kusini kwazua maswali nchini

Rais John Magufuli ameombwa kuzuia uagizaji wa nguzo za umeme kutoka Afrika Kusini kunakofanywa na Shirika la Umeme (Tanesco) kupitia wazabuni ili kunusuru mamilioni ya fedha za kigeni.

 

11 years ago

Mwananchi

BG: Itachukua muda kuzalisha gesi nchini

Shirika la Gesi la Uingereza (BG) limesema itachukua muda kuanza kuzalisha gesi kwa matumizi ya ndani na kuiuza nje ya nchi kutokana na rasilimali hiyo kugundulika katika maeneo yenye changamoto lukuki.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatuoni tatizo kwenye mjadala wa gesi nchini

JUZI na jana kulikuwa na kongamano kubwa kati ya viongozi wa dini na Wizara ya Nishati na Madini kuhusu maliasili ya gesi asilia, mafuta na madini kwa amani na maendeleo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani