Kenya kununua gesi nchini
RAIS Uhuru Kenyatta amesema nchi yake itakuwa mteja wa gesi ya Tanzania mara itakapoanza kuuzwa nje baada ya uzinduzi unaotarajiwa kufanyika Mtwara Jumamosi wiki hii. Aidha, amesema Kenya ina deni kubwa kwa Rais Jakaya Kikwete kutokana na urafiki wao na uhusiano mkubwa kati ya nchi hizo mbili.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Aug
Indonesia, Kenya kununua mahindi, mpunga nchini
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amesema kilio cha wakulima kuhusu ukosefu wa masoko ya mazao kitakuwa ni cha kihistoria muda mfupi ujao baada ya nchi ya Kenya na Indonesia kueleza kusudio la kununua mazao ya chakula yanayolimwa kwa wingi katika mikoa iliyopo Kanda ya Mashariki.
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
‘Ruksa kununua hisa mafuta na gesi’
NA RACHEL KYALA
SERIKALI kwa mara ya kwanza imetoa fursa kwa wananchi ya kuwekeza kwa kununua hisa katika sekta ya mafuta na gesi.
Hatua hiyo imekuja kufuatia serikali kutoa kibali kwa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala, kuwa ya kwanza kuuza hisa Afrika Mashariki na kumilikiwa na wazawa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Swala, David Ridge, akizungumza jijini Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa uuzaji wa hisa, aliwataka watanzania kuchangamkia fursa hiyo ili kuinua uchumi wao na wa taifa kwa...
5 years ago
BBCSwahili26 May
Rusty Hutson: Mwanamume aliyekuwa milionea kwa kununua visima 60,000 vya mafuta na gesi
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Watanzania wahimizwa kununua bidhaa nchini
TATIZO la ajira nchini litaisha endapo Watanzania watabadilika na kupenda kununua bidhaa zinazozalishwa na viwanda vilivyopo nchini. Hayo yalielezwa juzi na Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha A to Z, Anuj...
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Serikali kununua bomba za maji nchini
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Tanesco kununua nguzo Afrika Kusini kwazua maswali nchini
11 years ago
Mwananchi29 Aug
BG: Itachukua muda kuzalisha gesi nchini
5 years ago
CCM Blog
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Hatuoni tatizo kwenye mjadala wa gesi nchini
JUZI na jana kulikuwa na kongamano kubwa kati ya viongozi wa dini na Wizara ya Nishati na Madini kuhusu maliasili ya gesi asilia, mafuta na madini kwa amani na maendeleo...