Watanzania wahimizwa kununua bidhaa nchini
TATIZO la ajira nchini litaisha endapo Watanzania watabadilika na kupenda kununua bidhaa zinazozalishwa na viwanda vilivyopo nchini. Hayo yalielezwa juzi na Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha A to Z, Anuj...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV29 Dec
Watanzania wahimizwa kuwekeza nchini ili kuimarisha sekta ya uchumi
Watanzania wamehimizwa kuwekeza nchini ili kuimarisha sekta ya uchumi hususani kupitia viwanda ambavyo vitazalisha bidhaa bora zitakazouzwa nje ya nchi na kujipatia fedha za kigeni.
Hivi sasa Tanzania inatajwa kuingiza bidhaa nyingi kutoka nchi za nje hali inayosababisha kudorora kwa shilingi ya Tanzania dhidi ya fedha za kigeni hususani dola ya kimarekani.
Kwa kiasi kikubwa Tanzania inauza bidhaa ghafi nje ya nchi ambazo thamani yake inakuwa chini wakati uingizwaji wa bidhaa mbalimbali...
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Jamii yaaswa kununua bidhaa mtandaoni
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
JAMII imetakiwa kuendelea kuwa na imani na wafanyabiashara wanaouza bidhaa kupitia mitandao kwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kuwafikia wateja waliokuwa katika maeneo mbalimbali.
Akizungumza Dar es Salaam jana katika warsha ya wauzaji wa magari kutoka Tanzania Bara na Zanzibar, Meneja wa Masoko wa Mtandao wa Cheki kuwakutanisha wafanyabiashara wa magari Tanzania, Mori Bencus, alisema wananchi wana tatizo kubwa la kutowaamini wafanyabiashara wa mitandao na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuV6KsqauMAIj7EXNU4kKJuKaiwKyFN1FNucIyxwhKOUm2zVrqwuNJFyWEJE0VK9cCmYhUaQEMnwTd7RFewWTRl*/BusinessWomanComputerOfficeBlackEnterprise620480.jpg)
FIKIRIA KUNUNUA GHALA, SIYO BIDHAA
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Je unawezaje kununua chakula na bidhaa madukani kwa usalama?
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Wazalishaji wadogo wahimizwa ubora katika bidhaa zao
Na Nathaniel Limu, Singida
KATIBU tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan,...
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Zitambue mbinu wanazozitumia wafanyabiashara kukushawishi ili uweze kununua bidhaa zao
9 years ago
StarTV05 Oct
Watanzania wahimizwa kudumisha amani
Kiongozi Mkuu Kanisa la Jeshi la Wokovu Duniani Jenerali Adre Cox amewataka Watanzania kuendeleza kudumisha Amani iliyopo inayotamaniwa na Nchi nyingi Ulimwenguni kwa kuhakikisha wanashiriki Uchaguzi kwa Salama.
Kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa la Jeshi la wokovu Duniani pia amewataka viongozi wa dini Nchini kwa Imani zote kuhakikisha wanaketi pamoja na kuwa na Lugha moja ya kuliombea Taifa ili Uchaguzi uwe Huru na Haki
Kiongozi huyo ambaye kwa mara ya mwisho alizuru nchi Tanzania mwaka 2002,...
11 years ago
GPLWATANZANIA WAHIMIZWA MATUMIZI YA INTANETI