Coronavirus: Je unawezaje kununua chakula na bidhaa madukani kwa usalama?
Wataalamu wanatoa ushauri kuhusu namna unavyoweza kuepuka maambukizi ya virusi vya corona unaponunua chakula.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Kuna haja ya kununua chakula kingi kujiandaa na marufuku ya kutotoka nje?
10 years ago
Dewji Blog07 May
Waziri wa Afya afungua semina kwa waandishi wa habari kuhusu usalama wa chakula
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Rashid Seif (kushoto), akihutubia wakati akifungua semina ya siku moja kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu usalama wa chakula. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora.
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina hiyo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando (kushoto),...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Watanzania wahimizwa kununua bidhaa nchini
TATIZO la ajira nchini litaisha endapo Watanzania watabadilika na kupenda kununua bidhaa zinazozalishwa na viwanda vilivyopo nchini. Hayo yalielezwa juzi na Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha A to Z, Anuj...
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Jamii yaaswa kununua bidhaa mtandaoni
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
JAMII imetakiwa kuendelea kuwa na imani na wafanyabiashara wanaouza bidhaa kupitia mitandao kwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kuwafikia wateja waliokuwa katika maeneo mbalimbali.
Akizungumza Dar es Salaam jana katika warsha ya wauzaji wa magari kutoka Tanzania Bara na Zanzibar, Meneja wa Masoko wa Mtandao wa Cheki kuwakutanisha wafanyabiashara wa magari Tanzania, Mori Bencus, alisema wananchi wana tatizo kubwa la kutowaamini wafanyabiashara wa mitandao na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuV6KsqauMAIj7EXNU4kKJuKaiwKyFN1FNucIyxwhKOUm2zVrqwuNJFyWEJE0VK9cCmYhUaQEMnwTd7RFewWTRl*/BusinessWomanComputerOfficeBlackEnterprise620480.jpg)
FIKIRIA KUNUNUA GHALA, SIYO BIDHAA
9 years ago
MichuziWASHIRIKI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAJIPATIA KIPATO KWA KUUZA BIDHAA WALIZOTENGENEZA WENYEWE KATIKA KIJIJI CHA KISANGA.
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII DK.RASHID SEIF AFUNGUA SEMINA KWA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU USALAMA WA CHAKULA
10 years ago
GPLWAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII DK.RASHID SEIF AFUNGUA SEMINA KWA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU USALAMA WA CHAKULA