WASHIRIKI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAJIPATIA KIPATO KWA KUUZA BIDHAA WALIZOTENGENEZA WENYEWE KATIKA KIJIJI CHA KISANGA.
Ni siku ya 14 ambapo mampema kabisa washiriki wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula Msimu wa nne 2015 linaloendeshwa na Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow na yenye kauli yake ya Wekeza kwa wakulima wadogo wadogo wanawake inalipa , na Kipindi ambacho kinaruka katika Runinga yako kupitia Chanel ya ITV kuanzia saa 12:30 jioni na Marudio saa 11:30 za asubuhi , Katika siku hii Mama Shujaa wa Chakula wanatoka na kuelekea mabondeni kufuata udongo wa Mfinyanzi kwa ajili ya kuja kutengeneza vitu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-s2rgBFGM61w/VdRfGIHo5_I/AAAAAAAAclE/zt0M40NLpKI/s72-c/11873728_989084061113913_8620019709940397891_n.jpg)
WAKAZI WA KIJIJI CHA KISANGA WATOA MAONI YAO KUHUSU WASHIRIKI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 (VIDEO)
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
VIDEO: Wakazi wa kijiji cha Kisanga watoa maoni yao kuhusu washiriki wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015
Ni Siku ya 16 huku Shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015 Msimu wa nne shindano linalo endeshwa na Shirika la Oxfam kupitia Kampeni yake ya Grow, Likiwa linaelekea Ukingoni ambapo katika siku hii tunaona Maisha ya Mama Shujaa wa Chakula walivyo ishi kwa Siku 15, lakini kubwa zaidi ni wakazi wa Kijiji cha Kisanga hususani wale ambao ndio waliokuwa wanaishi na Akina mama hao katika Kaya zao kutoa maoni yao jinsi walivyo ishi na akina Mama hao. Pia hapa tutaona wasifu wa Washiriki wote wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cXwDz0Ncwoo/VcHyMgz7g8I/AAAAAAAAcEo/hxmy2rlnWow/s72-c/IMG-20150805-WA0050.jpg)
WASHIRIKI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAWASILISHA MIRADI YAO YA KILIMO NA MAZINGIRA KWA WANAKIJIJI WA KISANGA WILAYANI KISARAWE PWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-cXwDz0Ncwoo/VcHyMgz7g8I/AAAAAAAAcEo/hxmy2rlnWow/s640/IMG-20150805-WA0050.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tq6XCpeDV5s/VcHyMGMQsoI/AAAAAAAAcEg/_D_2cH874kM/s640/IMG-20150805-WA0049.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--bmmLV15n5Q/VcHyMY_D-UI/AAAAAAAAcEk/jKi7Hl0c5jw/s640/IMG-20150805-WA0051.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA...
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Washiriki wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015 watinga kambini kijiji cha Makumbusho jijini Dar
Bi. Sophia Mkazi na Mwenyeji wa Kijiji cha Kasanga Wilayani Kisalawe Mkoani Pwani akiwakaribisha wageni ambao ni Washiriki wa Shindano la mama shujaa wa Chakula kijijini huko katika sherehe ya iliyofanyika Kijiji cha Makumbusho Jijini Dar es salaam Jana. ambapo Programu mzima itaoneshwa katika Runinga ya ITV kila Siku kuanzia Tarehe 2.08.2015-21.08.2015 kuanzia saa 12 Jioni.
Bw. Godia Kaimu Mwenyekiti wa Kijiji cha Kasanga akiwakaribisha washiriki wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula...
9 years ago
Dewji Blog18 Aug
Washiriki wa Shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015 wabuni mbinu za kujipatia kipato
Ni siku ya 14 ambapo mampema kabisa washiriki wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula Msimu wa nne 2015 linaloendeshwa na Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow na yenye kauli yake ya Wekeza kwa wakulima wadogo wadogo wanawake inalipa , na Kipindi ambacho kinaruka katika Luninga yako kupitia Chanel ya ITV kuanzia saa 12:30 jioni na Marudio saa 11:30 za asubuhi , Katika siku hii Mama Shujaa wa Chakula wanatoka na kuelekea mabondeni kufuata udongo wa Mfinyanzi kwa ajili ya kuja kutengeneza vitu...
10 years ago
VijimamboSHEREHE YA KUWAKARIBISHA RASMI WASHIRIKI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 KIJIJI CHA MAKUMBUSHO JIJINI DAR, WAINGIA RASMI KAMBINI
10 years ago
VijimamboWASHIRIKI 18 WATAJWA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015
10 years ago
GPLWASHIRIKI 18 WATAJWA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015
10 years ago
VijimamboSHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA LAZINDULIWA RASMI NA MKUU WA WILAYA YA KISARAWE MH. SUBIRA MGALU KIJIJINI KISANGA