FIKIRIA KUNUNUA GHALA, SIYO BIDHAA
![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuV6KsqauMAIj7EXNU4kKJuKaiwKyFN1FNucIyxwhKOUm2zVrqwuNJFyWEJE0VK9cCmYhUaQEMnwTd7RFewWTRl*/BusinessWomanComputerOfficeBlackEnterprise620480.jpg)
FIKIRIA kununua ghala, siyo bidhaa Tunakutana tena katika safu yetu hii ya ujasiriamali ambayo ingawa walengwa ni wanafunzi, lakini hata watu wazima pia inaweza kuwasaidia kwa kuwa hakuna umri wa mwisho katika kutafuta maisha bora. Wapo watu ambao wamekuwa kati ka biashara kwa muda mrefu lakini bado hawajaona faida yoyote kiasi cha kuwafanya waanze kuchanganyikiwa. Jibu ni rahisi. Wanachopaswa kukiweka akilini mwao ni kuachana...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 May
MOTO ULIOZUKA KATIKA GHALA LA KUHIFADHIA BIDHAA DAR
![](http://api.ning.com/files/d5hxC5etmnnfZZa5Yo3aydGaS19WQwkMsiMbD9wbPC1y344fPe8Mgx1WvfBGkWV*A5tkpjHwV8lh480zvbFzifxuGZBkOvPf/moto2.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/d5hxC5etmnkV9PTLoUNjdDsOG2kOySxDOSWtQbuBj8bNbhA3j03d1kDl-B53ywFr3Y7Xi85vS1V*RiTVInSxkvy6qXDL5Wqz/moto.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/d5hxC5etmnkkDUNYA8EVxF-pBoTD97XW5NB5GZUUzL2OlBGKDwruEFyMV6rdlufe2EOM1GyacT-cNotJfhyisv8Jlvz0BzQi/moto3.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnnfZZa5Yo3aydGaS19WQwkMsiMbD9wbPC1y344fPe8Mgx1WvfBGkWV*A5tkpjHwV8lh480zvbFzifxuGZBkOvPf/moto2.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MOTO ULIOZUKA KATIKA GHALA LA KUHIFADHIA BIDHAA DAR
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Jamii yaaswa kununua bidhaa mtandaoni
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
JAMII imetakiwa kuendelea kuwa na imani na wafanyabiashara wanaouza bidhaa kupitia mitandao kwa kuwa ni moja ya njia rahisi ya kuwafikia wateja waliokuwa katika maeneo mbalimbali.
Akizungumza Dar es Salaam jana katika warsha ya wauzaji wa magari kutoka Tanzania Bara na Zanzibar, Meneja wa Masoko wa Mtandao wa Cheki kuwakutanisha wafanyabiashara wa magari Tanzania, Mori Bencus, alisema wananchi wana tatizo kubwa la kutowaamini wafanyabiashara wa mitandao na...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Watanzania wahimizwa kununua bidhaa nchini
TATIZO la ajira nchini litaisha endapo Watanzania watabadilika na kupenda kununua bidhaa zinazozalishwa na viwanda vilivyopo nchini. Hayo yalielezwa juzi na Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda cha A to Z, Anuj...
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Je unawezaje kununua chakula na bidhaa madukani kwa usalama?
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Zitambue mbinu wanazozitumia wafanyabiashara kukushawishi ili uweze kununua bidhaa zao
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ann-lp8tGEkZu6-u5y8y5ck6NG4RT5Xr1ZE88Yleos38ziKj7lLcHdHV-yKO1ZLLc2N2axw46dZgS4B5jNMNUW39nykQK*bg/14.jpg?width=750)
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...