Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANZANIA WAHIMIZWA MATUMIZI YA INTANETI

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (kushoto) akionesha moja ya simu aina ya Vodafone 875 yenye mfumo Adroid inayopatika sasa kwa bei ya shilingi 100, 000/- katika maduka yote ya kampuni hiyo. Simu hiyo ni ya kisasa iliyounganishwa na 3G mteja anaweza kuperuzi mitandao ya Facebook, WhatsApp, Twitter, Viber, na Instagram. Pamoja naye ni Mkuu wa Idara ya bidhaa kwa wateja wa Vodacom Tanzania...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Vodacom yawahimiza Watanzania kuendelea na matumizi ya intaneti

Msimamizi wa Mauzo katika duka la Vodacom Tanzania Mlimani City,Salim Salmin(kushoto)akielezea mifumo mbalimbali iliyopo kwenye simu aina ya Vodafone 875 yenye mfumo Adroid inayopatika sasa kwa bei ya shilingi 100, 000/- katika maduka yote ya kampuni hiyo. Simu hiyo ni ya kisasa iliyounganishwa na 3G mteja anaweza kuperuzi mitandao ya Facebook, Whatsap, Twitter, Viber, na Instagram.Pamoja naye ni mfanyakazi wa duka hilo Jihan Dimachck. Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom...

 

9 years ago

Dewji Blog

UNESCO, TCRA yataka wadau wa habari katika matumizi ya intaneti kuzingatia usiri na maadili

IMG_8938

Mwenyekiti wa National Governance Internet Forum ambaye pia ni Rais wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), Kenneth Simbaya akiwakaribisha wadau wa mitandao na watumiaji wa intaneti kwenye jukwaa hilo kabla ya kumkaribisha mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TCRA kufungua rasmi jukwaa hilo.. Kulia ni Katibu Mtendaji wa Tanzania Education and Research Network (TERNET), Amos Nungu na Kushoto ni Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na...

 

9 years ago

GPL

UNESCO, TCRA YATAKA WADAU WA HABARI KATIKA MATUMIZI YA INTANETI KUZINGATIA USIRI NA MAADILI‏

Mwenyekiti wa National Governance Internet Forum ambaye pia ni Rais wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), Kenneth Simbaya akiwakaribisha wadau wa mitandao na watumiaji wa intaneti kwenye jukwaa hilo kabla ya kumkaribisha mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TCRA kufungua rasmi jukwaa hilo. Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Bw. Sunday Richard akifungua rasmi Jukwaa la wadau wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran wahimizwa matumizi ya mitandao

Raisi wa Irani,Hassan Rouhan,amewataka wananchi wake pamoja na masheikh kujifunza zaidi masuala ya mitandao ya kijamii.

 

10 years ago

StarTV

Waliochaguliwa Serikali za Mitaa wahimizwa kusoma mapato na matumizi.

Na Mbonea Herman, Tanga.

Wenyeviti wa serikali za mitaa wametakiwa kujenga utamaduni wa kuwasomea wananchi taarifa za mapato na matumizi ili kuondokana na migogoro mingi iliyojitokeza kipindi kilichopita kutokana na kuwepo kwa dosari hiyo.

 

Wito huo ulitolewa na Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Tanga, Mery Chatanda wakati wa kuwapongeza viongozi wa serikali za mitaa wilaya ya Korogwe  mjini mara baada kushinda uchaguzi huo kwa asilimia mia moja.

 

Viongizi wa serikali za mitaa kutoka vijiji...

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania wahimizwa kula vizuri

Dk Donan MmbandoWATANZANIA wametakiwa kuzingatia ulaji wa vyakula na ufanyaji wa mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza, ambayo kwa sasa yanasababisha vifo vya watu wengi hapa nchini.

 

9 years ago

StarTV

Watanzania wahimizwa kudumisha amani

Kiongozi Mkuu Kanisa la Jeshi la Wokovu Duniani Jenerali Adre Cox amewataka Watanzania kuendeleza kudumisha Amani iliyopo inayotamaniwa na Nchi nyingi Ulimwenguni kwa kuhakikisha wanashiriki Uchaguzi kwa Salama.

Kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa la Jeshi la wokovu Duniani pia amewataka viongozi wa dini Nchini kwa Imani zote kuhakikisha wanaketi pamoja na kuwa na Lugha moja ya kuliombea Taifa ili Uchaguzi uwe Huru na Haki

Kiongozi huyo ambaye kwa mara ya mwisho alizuru nchi Tanzania mwaka 2002,...

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania wahimizwa kupima afya

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Kebwe Stephen Kebwe amewataka wananchi kujenga utamaduni wa kupima afya zao ili kuzuia kasi ya ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wahimizwa kupikia gesi

KAMPUNI kongwe ya huduma za umeme wa jua (solar) nchini, Katomu Investment Limited, imewahimiza Watanzania kupikia gesi majumbani mwao ili kuepuka gharama kubwa za kuni, mkaa na kuangamiza misitu. Akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani