Watanzania wahimizwa kula vizuri
WATANZANIA wametakiwa kuzingatia ulaji wa vyakula na ufanyaji wa mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza, ambayo kwa sasa yanasababisha vifo vya watu wengi hapa nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Dec
Watanzania wahimizwa kumuombea Magufuli
MFANYABIASHARA na kada wa CCM wilayani hapa, Peter Zakaria amewaomba Watanzania kuzidi kumwombea na kumuunga mkono Rais John Magufuli katika juhudi zake za kupambana na ufisadi, huku akiwataka wafanyabiashara kuonesha uzalendo kwa kulipa kodi kwa wakati.
Zakaria ambaye katika vyombo vyake vya usafirishaji amebandika mabango yenye kaulimbiu ya “Hapa Kazi Tu” alisema nia ya Rais Magufuli ni njema kuwaletea wananchi maendeleo na kurejesha imani ya Watanzania kwa CCM kwamba bado chama hicho...
11 years ago
GPLWATANZANIA WAHIMIZWA MATUMIZI YA INTANETI
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Watanzania wahimizwa kupima afya
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Watanzania wahimizwa kupikia gesi
KAMPUNI kongwe ya huduma za umeme wa jua (solar) nchini, Katomu Investment Limited, imewahimiza Watanzania kupikia gesi majumbani mwao ili kuepuka gharama kubwa za kuni, mkaa na kuangamiza misitu. Akizungumza...
9 years ago
StarTV05 Oct
Watanzania wahimizwa kudumisha amani
Kiongozi Mkuu Kanisa la Jeshi la Wokovu Duniani Jenerali Adre Cox amewataka Watanzania kuendeleza kudumisha Amani iliyopo inayotamaniwa na Nchi nyingi Ulimwenguni kwa kuhakikisha wanashiriki Uchaguzi kwa Salama.
Kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa la Jeshi la wokovu Duniani pia amewataka viongozi wa dini Nchini kwa Imani zote kuhakikisha wanaketi pamoja na kuwa na Lugha moja ya kuliombea Taifa ili Uchaguzi uwe Huru na Haki
Kiongozi huyo ambaye kwa mara ya mwisho alizuru nchi Tanzania mwaka 2002,...
11 years ago
Habarileo12 Jul
Watanzania wahimizwa kujiandikisha daftari la wapigakura
WATANZANIA wametakiwa kudumisha amani na utulivu na kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura pindi Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) itakapoanza kuboresha daftari hilo.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MxPAZdnXRnc/VeRTmt0nOtI/AAAAAAAH1SA/Feh4919WmKQ/s72-c/_2.jpg)
WATANZANIA WAHIMIZWA KUTUMIA HUDUMA ZA BIMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-MxPAZdnXRnc/VeRTmt0nOtI/AAAAAAAH1SA/Feh4919WmKQ/s640/_2.jpg)
Jovina Bujulu-MAELEZOWATANZANIA theluthi mbili hawana ufahamu wa kutosha kuhusu namna Bima inavyofanya kazi nchini hasa Bima ya Maisha na Mali.
Hayo yamesemwa na Kamishna wa Bima nchini Bw. Israel Kamuzora alipokuwa akifunga mafunzo ya wiki ya huduma kifedha na uwekezaji mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam.
Kamuzora aliwataka washiriki wa mafunzo hayo kueneza ujuzi na ufahamu waliopata ili wananchi walio wengi waweze kunufaika na huduma za bima...
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Watanzania wahimizwa kukata bima za nyumba
WATANZANIA wameshauriwa kuweka kipaumbele katika ukataji wa bima, hasa za nyumba na kuacha kutumia fedha kwa mambo yasiyofaa. Ushauri huo ulitolewa jijini Dar es Salaam juzi na Msemaji wa Kampuni...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Watanzania wahimizwa kudumisha, kuuenzi Muungano
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mtwara, Alhaji Mohamed Sinani, amewataka Watanzania kuendelea kudumisha na kuuenzi Muungano kwa masilahi ya taifa ikiwa ni njia pekee ya kuwaenzi waasisi...