Iran wahimizwa matumizi ya mitandao
Raisi wa Irani,Hassan Rouhan,amewataka wananchi wake pamoja na masheikh kujifunza zaidi masuala ya mitandao ya kijamii.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWATANZANIA WAHIMIZWA MATUMIZI YA INTANETI
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
‘Wafundisheni wanafunzi matumizi bora ya mitandao’
WALIMU mkoani hapa wametakiwa kushirikiana na wazazi katika kuwafundisha wanafunzi matumizi mazuri ya mitandao hususan simu za mikononi katika mazingira yasiyoharibu maadili yao. Akizungumza katika mahafali ya kuhitimu darasa la...
10 years ago
StarTV29 Dec
Waliochaguliwa Serikali za Mitaa wahimizwa kusoma mapato na matumizi.
Na Mbonea Herman, Tanga.
Wenyeviti wa serikali za mitaa wametakiwa kujenga utamaduni wa kuwasomea wananchi taarifa za mapato na matumizi ili kuondokana na migogoro mingi iliyojitokeza kipindi kilichopita kutokana na kuwepo kwa dosari hiyo.
Wito huo ulitolewa na Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Tanga, Mery Chatanda wakati wa kuwapongeza viongozi wa serikali za mitaa wilaya ya Korogwe mjini mara baada kushinda uchaguzi huo kwa asilimia mia moja.
Viongizi wa serikali za mitaa kutoka vijiji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GHvG6sT0y6M/Va_ExJXHenI/AAAAAAAHrIg/5C4jvVIczEk/s72-c/11742885_10206103772547000_2326359129387172336_n.jpg)
TAHADHARI MUHIMU DHIDI YA MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GHvG6sT0y6M/Va_ExJXHenI/AAAAAAAHrIg/5C4jvVIczEk/s640/11742885_10206103772547000_2326359129387172336_n.jpg)
10 years ago
GPLWASANII WASISITIZWA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO YA KIJAMII
10 years ago
Habarileo15 Mar
Matumizi mabaya ya mitandao inashusha maana ya mawasiliano
UTUMIAJI mbaya wa huduma za simu na mtandao unaofanywa na baadhi ya Watanzania ndio chanzo cha mambo ya hovyo na yasiyo ya maadili katika huduma ya mawasiliano.
10 years ago
Mtanzania10 Aug
Jamii yashauriwa kuzingatia matumizi salama ya mitandao
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
WATAALAMU wa mitandao wametoa wito kwa jamii juu ya matumizi salama ya mitandao ili kupunguza uhalifu katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa mawasiliano, mtaalamu wa usalama katika mitandao na uchunguzi wa makosa ya digitali, Yusuph Kileo, alisema matumizi mabaya ya mitandao yasipodhibitiwa yanaweza kuchangia kuyumba kwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/XgYtivyjLQ8/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/XgYtivyjLQ8/default.jpg)