‘Wafundisheni wanafunzi matumizi bora ya mitandao’
WALIMU mkoani hapa wametakiwa kushirikiana na wazazi katika kuwafundisha wanafunzi matumizi mazuri ya mitandao hususan simu za mikononi katika mazingira yasiyoharibu maadili yao. Akizungumza katika mahafali ya kuhitimu darasa la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Lulu Afuata Nyayo za Wema, Ahamasisha Matumizi Bora ya Mitandao ya Kijamii
Staa mrembo kutoka Bongo movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ mwenye followers zaidi ya laki nne kwenye mtandao wa Instagram amewataka vijana kutumia mitandao ya kijamii kujengana zaidi ikiwa ni siku chake baada ya staa mwenzake, Wema Sepetu kuwataka wanawake na jamii kwa ujumla kutumia mitando hiyo kuhamasishana kwenye vitu vya kimaendeleo zaidi.
“Nikiwa kama kijana mpenda maendeleo,mwenye ndoto na malengo ya kufika mbali najua mawazo yangu pekeyangu yanaweza yasitoshe mimi kufika...
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Enhance Auto yakabidhi Gari kwa mshindi wa shindano la matumizi bora ya mitandao ya kijamii
![](http://3.bp.blogspot.com/-5oem3JbZvjc/Vm1Za8s6ZtI/AAAAAAAAm8U/SeddYaogem0/s640/3.jpg)
Kamanda wa Kikosi Usalama barabarani, Mohamed Mpinga (kulia) akimkabidhi zawadi ya gari aina ya Toyota Surf, mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Jackson Kapongo aliyeshinda kupitia mchezo wa Matumizi bora ya Mitandao ya Kijamii iliyoendeshwa na Kampuni ya Enhance Auto ya Jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi wa Enhance Auto, Aatif Farooq Butt.(Picha na Father Kidevu Blog).
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZN1_LDWV9UQ/Vm1q-91-1eI/AAAAAAAAm8k/KXsCJRATPfA/s640/2A.jpg)
Mkurugenzi wa Enhance Auto, Aatif Farooq Butt akionesha stika za kuhamasisha usalama barabarani...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Nani anajali matumizi ya vyakula bora kwa wanafunzi shuleni?
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS,DKT GHARIB BILAL AHIMIZA MATUMIZI BORA YA TEKNOLOJIA YA HABARI KWA WANAFUNZI
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilali amesema kuwa matumizi bora ya teknolojia ya habari yatawawezesha wanafunzi kupata elimu bora kwa urahisi.
Hayo ameyasema leo katika skuli ya Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi Unguja wakati wa uzinduzi wa darasa la kompyuta ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za kutimiza miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.Alisema kuwa matumizi bora ya kompyuta yatawafanya wanafunzi...
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Iran wahimizwa matumizi ya mitandao
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GHvG6sT0y6M/Va_ExJXHenI/AAAAAAAHrIg/5C4jvVIczEk/s72-c/11742885_10206103772547000_2326359129387172336_n.jpg)
TAHADHARI MUHIMU DHIDI YA MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GHvG6sT0y6M/Va_ExJXHenI/AAAAAAAHrIg/5C4jvVIczEk/s640/11742885_10206103772547000_2326359129387172336_n.jpg)
10 years ago
Mtanzania10 Aug
Jamii yashauriwa kuzingatia matumizi salama ya mitandao
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
WATAALAMU wa mitandao wametoa wito kwa jamii juu ya matumizi salama ya mitandao ili kupunguza uhalifu katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa mawasiliano, mtaalamu wa usalama katika mitandao na uchunguzi wa makosa ya digitali, Yusuph Kileo, alisema matumizi mabaya ya mitandao yasipodhibitiwa yanaweza kuchangia kuyumba kwa...
10 years ago
GPLWASANII WASISITIZWA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO YA KIJAMII
10 years ago
Habarileo15 Mar
Matumizi mabaya ya mitandao inashusha maana ya mawasiliano
UTUMIAJI mbaya wa huduma za simu na mtandao unaofanywa na baadhi ya Watanzania ndio chanzo cha mambo ya hovyo na yasiyo ya maadili katika huduma ya mawasiliano.