Nani anajali matumizi ya vyakula bora kwa wanafunzi shuleni?
Sanura Bushiri (jina sio lake) anasoma darasa la nne katika Shule ya Msingi ya Majani ya Chai iliyopo Manispaa ya Ilala mkoani Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Kuzagaa kwa silaha nchini, nani anajali?
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS,DKT GHARIB BILAL AHIMIZA MATUMIZI BORA YA TEKNOLOJIA YA HABARI KWA WANAFUNZI
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilali amesema kuwa matumizi bora ya teknolojia ya habari yatawawezesha wanafunzi kupata elimu bora kwa urahisi.
Hayo ameyasema leo katika skuli ya Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi Unguja wakati wa uzinduzi wa darasa la kompyuta ikiwa ni miongoni mwa shamrashamra za kutimiza miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.Alisema kuwa matumizi bora ya kompyuta yatawafanya wanafunzi...
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
‘Wafundisheni wanafunzi matumizi bora ya mitandao’
WALIMU mkoani hapa wametakiwa kushirikiana na wazazi katika kuwafundisha wanafunzi matumizi mazuri ya mitandao hususan simu za mikononi katika mazingira yasiyoharibu maadili yao. Akizungumza katika mahafali ya kuhitimu darasa la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Vyakula shuleni na kipindupindu
AGOSTI 18, 2015 Dar es Salaam ilipata taarifa mbaya ya mlipuko wa Kipindupindu, mtu mmoja aliugua na kufariki.
Ingawa baadaye ulisambaa hadi Morogoro, kwa sasa jijini hapa idadi inaongezeka siku hadi siku. Takwimu za mwishoni mwa mwezi uliopita zinaonyesha kuna wagonjwa 417.
Kwa mujibu wa maofisa afya, ugonjwa huu unasababishwa na uchafu hasa ulaji wa kinyesi kibichi bila kufahamu na hivyo kushauri jamii kuzingatia usafi hasa waendapo maliwatoni, wahakikishe wananawa kwa sabuni kila...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avp4XYY6o6BHm9K9Nt*Qn5lz007QyngzPkLYyJ*NRGD99DeF9Tpmsoell3sJrxineu05DJwVlAAkvXRv3c221i6n/Mwanzakiwia1.jpg?width=650)
UKOSEFU WA VYOO SHULENI ILEMELA HATARI KWA AFYA ZA WANAFUNZI NA WALIMU
10 years ago
Dewji Blog15 May
Mafuta ya kupikia ya MO SAFI kwa mahitaji bora ya vyakula kwenye familia yako!!
Burger bomba kama hii ya kuvutia iliyotengenezwa kwa mafuta bora ya Mo Safi, zenye ufahari kutoka MeTL Group.
Kampuni ya MeTL Group imekuwa ni kati ya makampuni bora ndani na nje ya Tanzania kwa kukuletea bidhaa bora kwa mahitaji sahihi na ya matumizi na afya yako. Leo kupitia Modewji blog, tunakuletea kwa kifupi namna ya mafuta ya kupikia kutoka MeTL Group, MO Safi yatakavyopendezesha mlo...
10 years ago
Michuzi13 Aug
Matumizi bora ya Facebook kwa Biashara
Je kwa kutumia tangazo la kwenye TV au Radio ambapo hauna uhakika hata saa ngapi wataonesha tangazo unalohitaji? Au kwa kupitia gazeti ambapo wengi wetu sasa inapita hata mwezi bila kusoma gazeti lililochapishwa? Au ni mara ngapi umetumia...
9 years ago
Mwananchi22 Dec
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Selemani Jafo – Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora