Kuzagaa kwa silaha nchini, nani anajali?
Sasa nchi yetu imefika mahali ambapo maisha ya watu, hasa jijini Dar es Salaam yanaonekana kuwa ‘roho mkononi’ kutokana na kukithiri kwa ujambazi na kuzagaa kwa silaha ambazo zimo katika ‘mikono haramu’. Kwa maneno mengine, silaha nyingi hazimo katika ‘mikono stahiki’.Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Nov
Nani anajali matumizi ya vyakula bora kwa wanafunzi shuleni?
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Chama cha wazee chakerwa kuzagaa kwa ombaomba mitaani
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Misamaha ya kodi nchini ni kwa faida ya nani?
10 years ago
Michuzi
SITA MBARONI KWA KUMILIKI SILAHA KINYUME CHA SHERIA, KULIMA BHANGI NA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu sita (6) kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, kulima na kukutwa na bhangi pamoja na kuingia nchini bila kibali, kufuatia operesheni inayoendelea Mkoani Dodoma kusaka watuwanaojihusisha na uhalifu wa aina mbalimbali.
Akithibitisha matukio hayo kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amewataja watu wanaoshikiliwa...
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Waziri Mkuu awataka wakimbizi kutokuja na silaha nchini!!
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, akizungumza na wakimbizi wa Burundi na Congo katika kambi ya Nyarugusu hapo jana. (Picha na Emmanuel Senny).
Na Emmanuel Senny, Kigoma
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amewataka wakimbizi wanaokuja nchini ili kuomba hifadhi kuacha kubeba silaha nakujanazo nchini kwani kwa kufanya hivyo kunachochea vitendo vya kiharifu.
Akizungumza na wakimbizi wa kambi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu...
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
9 years ago
Bongo528 Dec
JB adai anajali heshima kuliko pesa kwenye filamu

Muigizaji wa ‘Chungu cha Tatu’ Jacob ‘JB’ Stephen amesema yupo tayari kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 200 kwenye filamu bila kujali hasara ili kujenga heshima yake katika tasnia ya filamu.
JB amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa, ameamua kuwaridhisha mashabiki wake wa filamu kwa kufanya kazi za gharama za juu na zenye ubora.
“Mimi nimetengeneza sinema zaidi ya 37 mpaka sasa hivi kupitia kampuni yangu ya Jerusalem na pesa zipo kwenye akaunti yangu lakini kumbukumbu yangu kubwa...
11 years ago
Michuzi31 Jul
Majambazi 10 wanaounda mtandao hatari wa uhalifu nchini wametiwa mbaroni, silaha mbalimbali zakamatwa.
Silaha hizo ni bunduki tisa zikiwemo SMG tatu, bastola mbili, short gun nne na risasi 15 zilikamatwa.
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, aliyasema hayo...
11 years ago
GPLMAJAMBAZI 10 WANAOUNDA MTANDAO HATARI WA UHALIFU NCHINI WAMETIWA MBARONI, SILAHA MBALIMBALI ZAKAMATWA